WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi
Haya fanyeni fasta namuhamisha mke wangu mtarajiwa kutoka Lushoto aje tanga jiji,kibaha dc,kibaha town,moro town

Fanyeni fasts nishatoa mahali wasambaa wananichapia demu wangu.
mbona wasambaa wastaarabu na waungwana...wenye tabia iyo wanayo wazigua
 
Mwalimu wakubadilishana.
Yupo ushetu anataka kuhamia mkoa wa Kilimanjaro au Arusha,wilaya yoyote.
Idara msingi.

Mwalimu mwingine anahitaji kwenda wilaya ya Bagamoyo kutoka wilaya ya Mwanga, Kilimanjaro.
Idara sekondari.
 
[emoji872][emoji872]TUBADILISHANE KITUO CHA KAZI

njoo liwale, nije mwanza wilaya nyamagana, kibiti, dodoma, mkuranga, pwani, geita, bagamoyo, kibaha

Mawasiliano whatsup 0787076174/0624555318
Nicheki tuyajenge

Idara ya elimu msingi

🪢🪢🪢🪢🪢🪢🪢🪢🪢
 
Wewe ni Mwalimu (Msingi, Sekondari n,k) na unahitaji mtu wa kubadilishana naye kituo cha kazi?

Weka ombi lako hapa na wengine watawasiliana nawe.

Ni muhimu kuzingatia kuwa, ukiweka baruapepe (email), namba yako ya simu mtandaoni haishauriwi (at your own risk). Njia bora inayopendekezwa na JamiiForums ni kwa PM (Private Messages) ndani ya JF - kwa usalama wako na usiri zaidi.

MUHIMU: Ni vema kusema UPO wapi na ungependa KWENDA wapi ili wale wenye kutaka kuwasiliana nawe wapate urahisi wa kukutafuta ili kurahisisha mchakato.

Tunakutakieni utumishi mwema.

JamiiForums
Kwa mwalimu wa kubadilishana aje SIKONGE mkoa wa TABORA mimi nije mkoa wa MOROGORO manispaa, Idara ya Secondary,
Kwa mawasiliano 0655 545575

Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom