Muhoro
Member
- Jan 29, 2022
- 38
- 46
Njoo Handeni mjini Tanga aje Dar es salaamNjoo Dar niende Bukoba MC
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Njoo Handeni mjini Tanga aje Dar es salaamNjoo Dar niende Bukoba MC
mbona wasambaa wastaarabu na waungwana...wenye tabia iyo wanayo waziguaHaya fanyeni fasta namuhamisha mke wangu mtarajiwa kutoka Lushoto aje tanga jiji,kibaha dc,kibaha town,moro town
Fanyeni fasts nishatoa mahali wasambaa wananichapia demu wangu.
Huwajui wewe tulia hao watu.mbona wasambaa wastaarabu na waungwana...wenye tabia iyo wanayo wazigua
Ahhmbona wasambaa wastaarabu na waungwana...wenye tabia iyo wanayo wazigua
Kwa mwalimu wa kubadilishana aje SIKONGE mkoa wa TABORA mimi nije mkoa wa MOROGORO manispaa, Idara ya Secondary,Wewe ni Mwalimu (Msingi, Sekondari n,k) na unahitaji mtu wa kubadilishana naye kituo cha kazi?
Weka ombi lako hapa na wengine watawasiliana nawe.
Ni muhimu kuzingatia kuwa, ukiweka baruapepe (email), namba yako ya simu mtandaoni haishauriwi (at your own risk). Njia bora inayopendekezwa na JamiiForums ni kwa PM (Private Messages) ndani ya JF - kwa usalama wako na usiri zaidi.
MUHIMU: Ni vema kusema UPO wapi na ungependa KWENDA wapi ili wale wenye kutaka kuwasiliana nawe wapate urahisi wa kukutafuta ili kurahisisha mchakato.
Tunakutakieni utumishi mwema.
JamiiForums