Matthewthomas
New Member
- Apr 20, 2020
- 2
- 0
Njoo Bariadi Dc sh 7000 nauli mwanza idara ya secondarynaitaji mtu aje manyara mi niende mwanza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Njoo Bariadi Dc sh 7000 nauli mwanza idara ya secondarynaitaji mtu aje manyara mi niende mwanza
Nipo dodoma nataka kuja dar mathematics,physics and chemistry nitafuteWewe ni Mwalimu (Msingi, Sekondari n,k) na unahitaji mtu wa kubadilishana naye kituo cha kazi?
Weka ombi lako hapa na wengine watawasiliana nawe.
Ni muhimu kuzingatia kuwa, ukiweka baruapepe (email), namba yako ya simu mtandaoni haishauriwi (at your own risk). Njia bora inayopendekezwa na JamiiForums ni kwa PM (Private Messages) ndani ya JF - kwa usalama wako na usiri zaidi.
MUHIMU: Ni vema kusema UPO wapi na ungependa KWENDA wapi ili wale wenye kutaka kuwasiliana nawe wapate urahisi wa kukutafuta ili kurahisisha mchakato.
Tunakutakieni utumishi mwema.
JamiiForums
Ubongo maji ndy natakakujaNipo dodoma nataka kuja dar mathematics,physics and chemistry nitafute
Njoo Iringa nije huko idara msingi
Idara gani?Njoo Kusini Lindi~ Liwale nije Kanda ya ziwa Mwanza,Geita,Simiyu au Mara.
Mzee bagamoyo imehamia Dar siku hizi??😂😂😂Njoo Bagamoyo DSM, nije Nyamagana idara Elimu sekondari
Kumbe hujui hilo au unasubili hadi itangazwe na serikali?Mzee bagamoyo imehamia Dar siku hizi??😂😂😂
Atakuwa mjinga huyo. Ama ana kakiburi ka kitoto basi.unadhani Ni ambaye anaweza akawafundisha watt wetu ama Taifa lote hili wajue kusoma. Ama anajiona Yuko Bora kuliko wengine.Walimjaza mimba wakamtosa ndio anajikuta anawachukia sana
Kwa hii comment kuanzia kule ulipoenda unataka kula mtt wa mwalimu. Sikuona ishu ya wewe kusitisha history yako Mana Ni maaamuzi Ila kwa hii comment. Binafsi moyo mpaka umepasuka. Una miaka mingapi na una Nini labda mpaka uwaone wenzako Kama Wana shida. Je Kuna Msaada wamekuomba. Mbona ukiwa tajiri dunia nzima Kama Elon Musk utatunyea usoni kwa kauli hii.Poleni sana, Mnaishi Kwa kuhamahama kama wakimbizi. Maisha yenu magumu sana
Ndio, cha msingi aongee vizuri na mkuu wake.Naomba kuuliza..kwa mwalimu ambaye yupo masomoni anaweza ku process uhamisho akiwa yupo masomoni?