FundiNgoma
Senior Member
- Dec 26, 2019
- 136
- 273
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Idara gani mkuuNjoo bumbuli Tanga Nije sehemu yeyote ndani ya mkoa wa Mara ,halmashauri yeyote
Naomba unipigie mkuu 0789643594Njoo bumbuli Tanga Nije sehemu yeyote ndani ya mkoa wa Mara ,halmashauri yeyote
Njoo nanyumbu mtwara nije MOROGORONjoo morogoro vijijini
Njoo masasi ndugu nije MOROGORO 0757919359Njoo morogoro Malinyi nije mkoa wa Ruvuma wilaya ya mbinga, songea municipal, NYASA DC
Idara ya Msingi
Mkuu barikiwa Sana ila Kuna jambo naomba ufafanuzi wa kina Zaidi Barua yenye sababu za Msingi ni hii ya kwanza, covering letter or zote mbili?Mimi nakushauri ufuate tu utaratibu uliowekwa. Kinyume na hapo, jiandae kutapeliwa.
Kama huna mtu wa kubadilishana naye; andika barua ya kuomba uhamisho yenye anuani 5 pale juu kushoto.
Anuani ya Mkurugenzi wa kule unakoenda iwe juu kabisa, inafuatiwa na ya Afisa elimu unakokwenda, halafu Mkurugenzi wa Halmashauri yako, Afisa elimu wako, na chini kabisa iwe ya mkuu wako wa shule. Na wote hao wanatakiwa kukupitishia hiyo barua.
Ambatanisha pia nakala zifuatazo; Barua yako ya ajira, barua ya kuthibitishwa kazini, na kitambulisho chako cha kazi.
Wakikusainia hao wote, andika sasa covering letter ya huo umaisho wako na uipeleke Tamisemi ukiambatanisha na hiyo barua uliyo sainiwa. NB:- lazima uwe na sababu za msingi za kuhama ndugu mwalimu.
Viambatanisho kuhusu sababu zako za kuhama ndiyo unaambatanisha. Ila na hiyo barua yenye anuani 5 ndiyo hiyo ya kwanza.Mkuu barikiwa Sana ila Kuna jambo naomba ufafanuzi wa kina Zaidi Barua yenye sababu za Msingi ni hii ya kwanza, covering letter or zote mbili?