WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi
Habari wakuu
naomba kubadilishana nae nije Halmashauri ya Kibaha,Bagamoyo,Mkuranga,Chalinze na Halmashauri zote za Mkoa wa Dar na wewe uje Mkoa wa Singida,Halmashauri ya Singida Vijijini
 
NJOO RUVUMA NIJE MOROGORO, IRINGA, PWANI, AU MBEYA HALMASHAURI YOYOTE ILE.

ELIMU SEKONDARI
 
Mwl njoo tubadilishane vituo vya Kaz njoo mwanza buchosa nije mkoa wa pwan halmashauri yoyte
*Idara ya secondary masomo ya sayans
*Pesa ya usumbufu/allowance kiasi Cha 1.5M itatolewa
*Kama uko serious nicheki
Njoo Tanga ndugu
 
Wewe ni Mwalimu (Msingi, Sekondari n,k) na unahitaji mtu wa kubadilishana naye kituo cha kazi?

Weka ombi lako hapa na wengine watawasiliana nawe.

Ni muhimu kuzingatia kuwa, ukiweka baruapepe (email), namba yako ya simu mtandaoni haishauriwi (at your own risk). Njia bora inayopendekezwa na JamiiForums ni kwa PM (Private Messages) ndani ya JF - kwa usalama wako na usiri zaidi.

MUHIMU: Ni vema kusema UPO wapi na ungependa KWENDA wapi ili wale wenye kutaka kuwasiliana nawe wapate urahisi wa kukutafuta ili kurahisisha mchakato.

Tunakutakieni utumishi mwema.

JamiiForums
Naomba uje mkoa wa Mara wilaya ya Bunda Nije mkoa wa pwani au tanga idara ya ELIMU secondary karbu mawasiliano njoo PM
 
Njoo TANDAHIMBA-MTWARA
MASOMO - CHEM BIOS
NIJE- IRINGA
NB wilaya yoyote
 
WAKUJA IRINGA KILOLO MIMI NIENDEE DODOMA JIJI,CHAMWINO,BAHI,KONGWA,NA MPWAPWA IDARA MSINGI njoo PM kwa mazungumzo zaidi trust me hatutachukua miezi miwili mambo yatakuwa TAYARI
 
Njoo ukerewe nije mtwara,Lindi wilaya yoyote elimu msingi
 
Screenshot_20250112-212949_Opera Mini.jpg
 

Attachments

  • Screenshot_20250112-212949_Opera Mini.jpg
    Screenshot_20250112-212949_Opera Mini.jpg
    83.5 KB · Views: 11
Niko Moshi Vijijini Marangu, nataka kuhamia Moshi mjini, Idara ya Sekondari au Shule za Moshi vijijini vinazozungusha manispaa.

Kama wewe natafuta mtu wa kubadilishana naye, nitampa gharama ya uhamisho pia.
Njoo PM tuyajenge.
 
Back
Top Bottom