Suchack
JF-Expert Member
- May 11, 2020
- 2,290
- 4,623
Tumikia wakulima Ilala hakuna kilimoMm n afsa kilimo njoo sikonge nije dar wilaya ya kinondoni au ilala
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tumikia wakulima Ilala hakuna kilimoMm n afsa kilimo njoo sikonge nije dar wilaya ya kinondoni au ilala
Dah jamaa mbona unanikatisha tamaa ivo ina maana me maisha yangu yote yawe bush huku mbona serikali inatutesa sn kwan ilala watu hawalimi hata bustaniTumikia wakulima Ilala hakuna kilimo
Mkuu vipi ulishapata wa kubadirishana?Njoo kasulu,kigoma Nije iringa,njombe,mbeya, morogoro na songea idara sekondari. mawasiliano njoo PM
Karibu mkuuNjoo KIGOMA MJINI nije SONGEA MANISPAA.
Njoo Tanga nduguMwl njoo tubadilishane vituo vya Kaz njoo mwanza buchosa nije mkoa wa pwan halmashauri yoyte
*Idara ya secondary masomo ya sayans
*Pesa ya usumbufu/allowance kiasi Cha 1.5M itatolewa
*Kama uko serious nicheki
Naomba uje mkoa wa Mara wilaya ya Bunda Nije mkoa wa pwani au tanga idara ya ELIMU secondary karbu mawasiliano njoo PMWewe ni Mwalimu (Msingi, Sekondari n,k) na unahitaji mtu wa kubadilishana naye kituo cha kazi?
Weka ombi lako hapa na wengine watawasiliana nawe.
Ni muhimu kuzingatia kuwa, ukiweka baruapepe (email), namba yako ya simu mtandaoni haishauriwi (at your own risk). Njia bora inayopendekezwa na JamiiForums ni kwa PM (Private Messages) ndani ya JF - kwa usalama wako na usiri zaidi.
MUHIMU: Ni vema kusema UPO wapi na ungependa KWENDA wapi ili wale wenye kutaka kuwasiliana nawe wapate urahisi wa kukutafuta ili kurahisisha mchakato.
Tunakutakieni utumishi mwema.
JamiiForums
Kaka njoo inbox tuyajenge bossNjoo ngorongoro, nije Halmashauri yoyote ndani ya mkoa wa Kagera
Idara ya msingi
ahsante ila mbali sanaNjoo Ruvuma mkuu kupo Vizuri sana.
Mawasiliano bossNjoo ngorongoro, nije Halmashauri yoyote ndani ya mkoa wa Kagera
Idara ya msingi