Njoo morogoro,nije arusha mjini»reply hapo chin
mimi nipo Kibiti pana maji, umeme na karibu na dar usafiri kuja Dar ni lisaa limoja na nusu na unapatikana hadi saa 2 usiku kila siku. kwaiyo kwa wale ambao wangependa kuwa karibu na DAR au kuishi maeneo haya tubadilishane....mimi nipo idara ya sekondari na nina TSD namba, barua ya kuthibitishwa na barua ya kudumu ya ajira,, nataka kurudi home TANGA manispaa au hata wa Dodoma manispaa pia naweza kubali. if you are interested poke me through sheizashafi@yahoo.com
Naitwa mwl godwill e. Medukenya wa halmashauri ya wilaya ya mpwapwa shule ya sekondari kibakwe. Natafuta mtu wa kubadilishane nae mimi niende halmashauri ya arusha dc, meru, karatu au monduli. Contacts: 0762430192/0786649031
Mimi niko Serengeti nahitaji kubadilishana na mtu ambaye yuko Magu kama utakuwa tayari tuma pm then tuyajenge
serengeti shule gani?msingi au sec?