Tofautisha kati ya Kuhama na Kubadilishana vituo vya kazi usikurupuke!!!
Hapa watu wanahangaika kutafuta watu wa kubadilishana nao yani huyu aende kule na yule arud pale..
Uhamisho unafatiliwa Kwenye ofisi za Halmashauri!!watu wanahama na.kubadilishana kwa sababu mbalimbali!!kama Kuumwa,kuwa karibu na.familia zao,,au wazee wao !!Wacha kukatisha tamaa wenzio!!
Samahanini lakini eti kubadilishana vituo vya kazi ni lazima mfanane masomo mnayofundisha siku hizi ama nauliza tu coz kuna kesy imemkuta ndugu yangu mmoja
ALIYETAYARI
njoo h/w ushetu(kahama) shinyanga.mwenzio aje TANGA wilaya yoyote.
nikarbu na mikoa ya GEITA,MWZ,SIMIYU na tabora.idara elimu mcng mawasiliano:
0684711818.
 Kwa mwalimu yeyote wa sekondari aliye mkoa wa mbeya wilaya yeyote ile anayetaka kuja wilaya ya kwimba-mwanza, naomba uni "pm" au tuwasiliane kwa namba zifuatazo: