Njoo Mafia mk0a wa Pwani ni karibu na dar idar sec nije M0r0... Ofer ya x mas na new year changamkia
 
Mwalimu uliopo moshi vijijin, korogwe mjini, bagamoyo, kibaha, kisarawe, mkuranga, mafia, mwanga kilimanjaro, unataka kuja iringa dc naomba tubadilishane... 0718145989....au n pm....
 
Wanaohitaji kubadilishana;

Njoo Tabora - Nzega nije Iringa au Njombe wilaya yeyote(Idara ya msingi)

Njoo Masasi - Mtwara nije Iringa manispaa au Mufindi, Mji Njombe au Mji Makambako na Mbeya Jiji(Idara ya sekondari)

Njoo Njombe - Ludewa nije Iringa wilaya yeyote(Idara ya sekondari au msingi)

Njoo Babati - Manyara nije Iringa au Njombe wilaya yeyoye(Idara ya sekondari)

Njoo Njombe - Ludewa nije Sumbawanga au Mpanda(Idara ya sekondari)

Njoo Rombo - Kilimanjaro nije Mafinga - Iringa au Mji Njombe(Idara ya sekondari)

Njoo Lushoto - Tanga nije Iringa - Mufindi (Idara ya sekondari)

Mawasiliano: 0654425007
 
ndugu yangu natamanitsana ningebaki Moro bt nalazimika kuhama ili kuungana na familia coz nimeingia ktk ulimwengu wa wawiliwawili

Ni Mwalimu wa shule ya msingi. Njoo lindi, aje tanga, moro, iringa, njombe, songea, kibaha au mbeya. Wasiliana na 0685323937
 
njoo bukoba(v) mwalimu aje manyara(wilaya yeyote) au simiyu(wilaya yeyote),idara sekondari!ukiafiki unaweza ni pm,nikuunge nae
 
Njoo Arusha DC nije morogoro manispaa.idara sekondari.nafundisha ilboru sec. Mawasiliano 0764776655, au 0658221998
 
Njoo wwilaya ya handeni mkoa wa tanga
Nije
Mkuranga
Kibaha
Kisarawe
Temeke
Ilala
Kinondoni
Idara ya sekondari
0786475050
0715475050
 
Njoo bukoba(w),mwalmu aje simiyu au manyara,idara secondari!naomba kama utaafiki ni pm nikuunge nae
 
Natafuta MTU wa kubadilishana naye,aje Mbeya -Chunya,Mimi nije Mwanza,Morogoro wilaya yoyote,kumbuka kwa sasa kutoka Chunya kwenda Mbeya jiji ni mwendo wa masaa mawili tu,na nauli yake ni sh.4000 tu,coz wameshajenga barabara kwa kiwango cha Lami!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…