Mwl yupo Kagera idara mcng anatafuta wa kubadilishana na walimu mliopo mikoa ya
Tabora
Rukwa
MBEYa
Njombe
Iringa
Morogoro
Dodoma
Ruvuma
Dar
Pwani
Songwe
0689976850
 
Kwa anayetaka kuja Rombo (msingi) kutokea Hai au Moshi vijijini kuna mwalimu yupo tayari- NICHEKI 0762322282 NITAKUUNGANISHA NAYE.
 
Mwl yeyote aje masasi mtwara mi nije mikoa ya mwazna ,geita au mara wilaya yeyote idara ya msingi 0759263313 au 0787207598
 
Tangazo...mimi no mwalimu pesambili meshack shule ya sekondari halimashauri ya nsimbo KATAVi natafutammwalimu wa kubadilishana nae sehemu ya kufanyia kazi awe anatoka mbeya mjini...mbozi...au momba....... Mawasiliano +255755785043
 
Kwa mwalimu anayetaka kuja wilaya ya Rungwe- tukuyu mjini kutoka moshi mjini,HAI na rombo tuwasiliane kwa namba 0717629898
 
Mwalimu Wa idara ya Msingi yupo pwani wilaya ya Mafia. Anahitaji mwalimu Wa kubadilishana nae kutoka DODOMA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…