Kwa mwalimu anayehutaji kuja NJOMBEE
Na Mimi nije
1. Makambako
2. Iringa mjini
3. Mbeya mjini
4. Dodoma mjini
Wasiliana na me, idara ya secondary @0753923520
Kwa mwalimu anayehutaji kuja NJOMBEE-LUDEWA
Na Mimi nije
1. Makambako
2. Iringa mjini
3. Mbeya mjini
4. Dodoma mjini
5. Mafinga mjini
Wasiliana na me, idara ya secondary @0753923520
Jamani mimi ni Mwalimu wa sekondari H/shauli ya wilaya ya Misenyi Mkoani kagera. namtafuta Mwalimu wakubadilishana nae yeye aje H/shauli ya wilaya ya Misenyi mimi niende H/shauli ya wilaya ya Nyamagana Mkoani Mwanza. Au hata H/shauli ya Ilemela Mwanza.Tumia ukurasa huu au simu No 0763275320.NB Shule inaitwa Bugandika sekondari. Ipo 7-8km kutoka Bukoba mjini.