WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi
Njoo kagera Nije
Arusha
Kilimanjaro
Manyara
Tanga
Wilaya yoyote sekondari! 0712272365/0758165769
 
Njoo kagera Nije
Arusha
Kilimanjaro
Manyara
Tanga
Wilaya yoyote sekondari! 0712272365/0758165769
 
Njoo kagera Nije
Arusha
Kilimanjaro
Manyara
Tanga
Wilaya yoyote sekondari! 0712272365/0758165769
 
Huwa naona waalimu wanaweka matangazo ya kubadilishana vituo vya kazi, je watu wengine pia kama wahasibu, madoctor, ....... huwa wanaruhusiwa kubadilishana vituo vya kazi hasa SERIKALINI?
inawezekana ila huwa inaka ngumu coz ni vigumu kupa
Huwa naona waalimu wanaweka matangazo ya kubadilishana vituo vya kazi, je watu wengine pia kama wahasibu, madoctor, ....... huwa wanaruhusiwa kubadilishana vituo vya kazi hasa SERIKALINI?
What is the process of transferring LGA staff / vigezo ni vipi?

Ili maombi ya Uhamisho yaweze kukubaliwa, mtumishi hupaswa kutimiza vigezo vifuatavyo:-

  • Kupatikana kwa Nafasi wazi
  • Mwombaji aandike barua ya maombi na kujibiwa na Mkurugenzi wa Halmashauri yenye nafasi ya kumpokea. Aidha, Wakurugenzi wataeleza nafasi wazi ya Uhamisho ilivyopatikana (mfano, Mtumishi aliyestaafu/kufariki kwa Jina na ‘Check Number'yake, au watumishi walioomba kubadilishana vituo vya kazi, nk)
  • Kupata Ridhaa ya Mamlaka ya Ajira
  • Maombi yaliopitishwa na Mkuu wa Idara/Taasisi (mfano Mkuu wa Shule pamoja na Afisa Elimu, au Mkuu wa Idara za Afya, Maendeleo ya Jamii, Ardhi Maliasili na Mazingira, nk) yatawasilishwa kwa Mkurugenzi wa Halmashauri ambayo mtumishi/mwombaji anataka kuhama ili kupata ridhaa yake,
  • Kuomba kibali cha Katibu Mkuu OWM TAMISEMI
  • Mwombaji awasilishe maombi kwa Katibu Mkuu, OWM TAMISEMI yakiambatana na barua ya ridhaa ya Mkurugenzi wa Halmashauri anayotaka kuhama na barua ya Mkurugenzi wa Halmashauri itakayompokea. Ni muhimu mtumishi ataje cheo chake wakati anawasilisha maombi. Pia aambatishe nakala ya vielelezo vya uthibitisho wa sababu za kuomba uhamisho, mfano Vyeti vya Ndoa nk.
 
pia kuna sababu za kiafya zinaweza kufanya ukahamishwa, na ndoa pia kwa wanawake
 
Njoo Lindi Manispaa(Lindi mjini),nije: kibaha,mkuranga,kibiti,bagamoyo,dar.Idara ya sekondari,0655913435,au 0784913435[/QUOTE]
 
Njoo Kilimanjaro rombo kwenda moshi town 2500 tu huduma zote zipo nije kibaha..kisarawe..mkuranga...Sekondari.Nichek kwa 0685616760
 
Back
Top Bottom