Duu hii noma mikoa mingine ukipangiwa nikama wamekutupa hatauombe kubadilishana watu utadhani hata hawasomi post yako vile. Wengine humu wanaomba kubadilishana tangu Uzi ( thread) ianzishwe October 28. 2012 hawajapata bado mpaka leo.
Daaah yani wee unataka uhame ikwiriri?? Daaah hapo ndo nyumbani kwetu hapo daah sema mi nipo Masasi sekondariNatafuta mtu wa kubadilishana nae kituo cha kazi idara ya msingi.
Aje ikwiriri-rufiji Mimi niende MOROGORO mjini(Manispaa)
Mawasiliano 0712786645
ruvuma ipiNjoo Ruvuma Mimi nije iringa njombe au Mbeya 0788014921
Npo longido vpMWALIMU TAFADHARI NJOO SINGIDA NI JIRANI SANA NA ARUSHA. KAMA UTAKUWA TAYARI NITAFUTE KWA 0682878222.
primaryIDARA GAN BWASHEEEE
Natafuta mtu wa kubadilisha nae kituo cha kazi idara PRIMARYWewe ni Mwalimu (Msingi, Sekondari n,k) na unahitaji mtu wa kubadilishana naye kituo cha kazi?
Weka ombi lako hapa na wengine watawasiliana nawe.
Ni muhimu kuzingatia kuwa, ukiweka baruapepe (email), namba yako ya simu mtandaoni haishauriwi (at your own risk). Njia bora inayopendekezwa na JamiiForums ni kwa PM (Private Messages) ndani ya JF - kwa usalama wako na usiri zaidi.
MUHIMU: Ni vema kusema UPO wapi na ungependa KWENDA wapi ili wale wenye kutaka kuwasiliana nawe wapate urahisi wa kukutafuta ili kurahisisha mchakato.
Tunakutakieni utumishi mwema.
JamiiForums
simanjiro upo tayariHabari wadau. Naitwa Mwl HUSSEIN SAID idara ya Secondary, niko Mkoani Njombe Wilaya ya Makete eneo la Ikonda centre. Natafuta mtu wa kubadilishananae aje huku niende mikoa ifuatayo:
1. Arusha
2. Kilimanjaro
3. Babati - Manyara
Mawasiliano.
0766 835725/0655 835725/0687 684805 Nahitaji ushirikiano wenu.
MBEYA sehemu ganiMie nipo mby nataka kuja moro,km vp 2badilishane