mr Ibu
Member
- Aug 29, 2015
- 58
- 17
Duu hii noma mikoa mingine ukipangiwa nikama wamekutupa hatauombe kubadilishana watu utadhani hata hawasomi post yako vile. Wengine humu wanaomba kubadilishana tangu Uzi ( thread) ianzishwe October 28. 2012 hawajapata bado mpaka leo.
Duu kweli aisee nimeamini kuna mikoa inanuksi. utazan haipo tanzania bwanaa.