WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi
Wewe ni Mwalimu (Msingi, Sekondari n,k) na unahitaji mtu wa kubadilishana naye kituo cha kazi?

Weka ombi lako hapa na wengine watawasiliana nawe.

Ni muhimu kuzingatia kuwa, ukiweka baruapepe (email), namba yako ya simu mtandaoni haishauriwi (at your own risk). Njia bora inayopendekezwa na JamiiForums ni kwa PM (Private Messages) ndani ya JF - kwa usalama wako na usiri zaidi.

MUHIMU: Ni vema kusema UPO wapi na ungependa KWENDA wapi ili wale wenye kutaka kuwasiliana nawe wapate urahisi wa kukutafuta ili kurahisisha mchakato.

Tunakutakieni utumishi mwema.

JamiiForums
Hivi majina ya wanaohama kwa mwezi Januari huwa yanatoka tarehe ngapi kwa anayejua
 
Njo Igunga Tabora nije kat ya mikoa ya Iringa,Moro,mbeya wilaya yeyote idara yamsing 0628853031
 
Njo Igunga tabora mm nine kati ya mikoa ya Mbeya,iringa na moro namba yang no 0628853031
Idara ya msing
 
Njoo Kagera Nije Arusha,Kilimanjaro,Manyara au Tanga wilaya yoyote! Sec 0758165769
 
Back
Top Bottom