WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi
Njoo mbeya nafundisha mbeya vijijin eneo mbalizi hapa hapa. Aliye tayari tubadilishane tanga, moro ,pwani ,dar ,kilimanjaro ,arusha . 0655538380 idara msingi aliyeko tayari tubadilishane

Njoo Ruangwa, Lindi kwao na waziri mkuu Majaliwa ambako sukari haijapanda bei, mi nimeimis baridi ya mbeya joto hili siliwezi.
 
Njoo Ruangwa Lindi
nije popote ulipo
Ikwiriri
Mkuranga
Chalinze
Morogoro
Iringa
Njombe
Mbeya
Songwe
Idara msingi
0768672572
0757212210
 
Wewe ni Mwalimu (Msingi, Sekondari n,k) na unahitaji mtu wa kubadilishana naye kituo cha kazi?

Weka ombi lako hapa na wengine watawasiliana nawe.

Ni muhimu kuzingatia kuwa, ukiweka baruapepe (email), namba yako ya simu mtandaoni haishauriwi (at your own risk). Njia bora inayopendekezwa na JamiiForums ni kwa PM (Private Messages) ndani ya JF - kwa usalama wako na usiri zaidi.

MUHIMU:
Ni vema kusema UPO wapi na ungependa KWENDA wapi ili wale wenye kutaka kuwasiliana nawe wapate urahisi wa kukutafuta ili kurahisisha mchakato.

Tunakutakieni utumishi mwema.

JamiiForums
 
Back
Top Bottom