WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi
Habari Wadau !

NIko Handeni - Tanga , idara ya Sekondari natafuta mtu wa kubadilishana naye kituo cha kazi, Yeye aje Handeni nami niende Mbozi - Songwe.

Shule niliyoko iko barabarani (barabara kuu ya Handeni to Korogwe) kutoka hapa tulipo mpaka Dar - Es - Salaam ni masaa matano tu na nauli yake ni Tsh. 12,000/=

Pia gari ziko kampuni zaidi ya mbili na zinafanya Safari za Handeni to Dar na Dar to Handeni mara tano kwa siku.

Yaani ziko gari za saa kumi na mbili asubuhi, saa mbili asubuhi, saa nne asubuhi, saa sita mchana na saa tisa jioni.........

Kampuni mbili maarufu Ajeez na Feruzi pia iko Air force n.k,
Pia ni jirani na Morogoro, njia nzuri ya kwenda Moshi na Arusha.......

KARIBUNI SANA KWA WENYE HITAJIO LA KUJA HANDENI NAMI NIENDE MBOZI - SONGWE.
Shule gani Mkuu kwenjugo Sec au konje sec njoo kigoma nije Handeni nchk kW 0753533877
 
Njoo Lushoto Tanga nije

* Korogwe
* Hai Kilimajaro
* Same
* Mwanga
* Moshi v
* Rombo
* Siha

Idara ya Msingi
Mawasiliano 0758121353

Sent from my TECNO-J7 using JamiiForums mobile app
 
Njoo Lushoto Tanga nije

* Korogwe
* Hai Kilimajaro
* Same
* Mwanga
* Moshi v
* Rombo
* Siha

Idara ya Msingi
Mawasiliano 0758121353
 
Mimi niko mkoa wa Iringa Wilaya ya Kilolo nafundisha secondary, kwa aliyetayari me niende Mbeya. Unaweza ukani PM tuyajenge.
 
Nina ndugu yangu yeye ni mwalimu wa shule ya msingi yupo ukerewe mwanza anataka mtu wakubadirishana nae mikoa kati ya hii dodoma moshi au dar au tanga aliye tayari anipm nimuunganishe nae
 
Njoo Lushoto Tanga nije

* Korogwe
* Hai Kilimajaro
* Same
* Mwanga
* Moshi v
* Rombo
* Siha

Idara ya Msingi
Mawasiliano 0758121353
 
Njoo Lushoto Tanga nije

* Korogwe
* Hai Kilimajaro
* Same
* Mwanga
* Moshi v
* Rombo
* Siha

Idara ya Msingi
Mawasiliano 0758121353

Sent from my TECNO-J7 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom