WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi
KUBADILISHANA KITUO CHA KAZI[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]

Njoo Kigoma, Wilaya ya Kasulu mjini

Idara ya Elimu Secondary.Somo la HESABU

Nije
Dar es salaam,Tanga,Morogoro au Pwani Wilaya yeyote Ile.[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]

Mawasiliano ni. 0786538767/0652180400
Uko tayari kuja mafia?

#MaendeleoHayanaChama
 
Habarini!!
Kwa mwalimu wa sekondari aliye wilaya ya KISARAWE, MOROGORO MJINI/VIJIJINI,DODOMA MJINI,MBEYA,NACHINGWEA MJINI,MASASI MJINI, na NJOMBE MJINI wa masomo ya PHYSICS na CHEMISTRY akiwa anataka(TUBADILISHANE) kurudi kwao mkoa wa Kigoma,(Uvinza upande wa ziwa Tanganyika au kama waelekea JKT Bulombora umbali wa kutumia muda wa lisaa limoja kufika kigoma mjini na kwa pikipikiau privatecar ni mwendo wa dakika 45 tu. Kwa daladala nauli ni 3000/= ty) niko tayari kubadilishana nae mimi nije mkoa wake.(KISARAWE, MOROGORO MJINI/VIJIJINI,DODOMA MJINI,MBEYA,NACHINGWEA MJINI,MASASI MJINI, na NJOMBE MJINI)

NB WALAU IWE WILAYA ZA MJINI. AU WILAYA JILANI NA JIJI LA DAR ES SALAAM.

Karibu inbox [emoji120] !!!!!
Yaan Kwa mkeka huu.wasipokuelewa WAHA.basi tena [emoji85][emoji85]
 
Anahitajika mwl wa kwenda tunduma mjini mkoa wa songwe ni border ya tanzania na zambia idara sekondari awe anatoka wilaya za mwanza kassoro ukerewe iwe ni magu buchosa misungwi sengerema na kwimba
 
Back
Top Bottom