WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi
Habari. Anatafutwa mwalimu wa kubadilishana nae kituo cha kazi, aende Ngara- Kagera, huyu aje Wilaya yoyote ndani ya Mkoa wa Dodoma, Singida, Pwani, Tanga, Morogoro, Kilimanjaro.
Idara ya Msingi.
 
Back
Top Bottom