WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi
njoo kigoma vijijini, ni kuzuri sana, kuna kila huduma ya kijamii mtu anayoitaka isipokuwa UMEME, MAJI SAFI, HOSPITALI, USAFIRI MADHUBUTI na kadhalika. Karibu ujisikie nyumbani BABA MLEZI
 
Mke wang amepangiwa kfundsha mkoa wa mtwara wilaya ya NEWALA kwa mwl yeyote aliyeko kanda yeyote ile tofaut ya kigoma na musoma tuwasiliane.
 
Mkuu huna bundle za kutosha? Mbona unaandika haraka hivyo bila kutulia? Haya, jirushe na uongeze nyama kwenye content.
 
Yaan wewe unaacha kupigania mshahara unahangaikia uhamisho.Kwan mtwara kunanini muache apige kaz huko,huenda atatumia vizuri kura yake mwaka 2015
 
Muache huyo mkeo huko huko mtwara awe chakula ya afisa elimu.
 
Yaan wewe unaacha kupigania mshahara unahangaikia uhamisho.Kwan mtwara kunanini muache apige kaz huko,huenda atatumia vizuri kura yake mwaka 2015
how poor u are ina maana huko hakustahili kukaa watu?
 
Mke wang amepangiwa kfundsha mkoa wa mtwara wilaya ya NEWALA kwa mwl yeyote aliyeko kanda yeyote ile tofaut ya kigoma na musoma tuwasiliane.

newala yupo kijijini au? kama ni town..sema tumwongezee shughuli za kufanya! atapapenda tu..
 
Mke wang amepangiwa
kfundsha mkoa wa mtwara wilaya ya NEWALA kwa mwl yeyote aliyeko kanda
yeyote ile tofaut ya kigoma na musoma tuwasiliane.

kwanini usingemuachia huyo mkeo(mwalimu) aandike mwenyewe.?labda angetulia akaeleweka.!
Anyway,Mtwara,tena Newala,duh.!sijui kama utafanikiwa,labda wewe uhamie huko.
 
ajabu yake ni nini hapo?kuoa kabla ya kupata ajira au hiyo formula yako uliyoiweka hapo mwishoni.?
Mkuu,
Ajabu ni kuoa kabla ya kupata ajira. Utaoaje mtu asiye na cheque number!. Anaoa mwanachuo!. Akumbuke kwa mwanamke" out of sight out of mind" . Hivyo asipofanya haraka kumwamisha atakuja kujuta.
 
Mkuu,
Ajabu ni kuoa kabla ya kupata ajira. Utaoaje mtu asiye na cheque
number!. Anaoa mwanachuo!. Akumbuke kwa mwanamke" out of sight out of
mind" . Hivyo asipofanya haraka kumwamisha atakuja kujuta.

duh..!umeangalia maslahi zaidi au mapenzi.?
 
duh..!umeangalia maslahi zaidi au mapenzi.?

Mapenzi tupu hapo hakuna maslahi. Maslahi ni matokeo tu. Vijana(me na ke) wanaosoma lazima wawe na longrun plans. Ni vizuri wa focus hivi:1. College Education, 2. Employment,3. Marriage. Kwa hiyo kijana asikurupuke tu kuoa/kuolewa bila preparations za kutosha kuwa na successful marriage siyo mchezo.
 
Back
Top Bottom