Walimu Mei mosi imekaribia, andaeni mabango ya maandamano ya Amani

Ameshawakimbia huyo
 
Ila tuwaonee huruma walimu...wamekuja ofisin wakataman bidhaa...mmoja akatoa kishikwambi..kikubwa hicho ili apige picha...eti mwanga wa taa zangu zikazingua kishkwambi kikashindwa piga picha nzur..mwenzie akamjibu thaman ya kishikwamb milion tatu na kimeshindwq kupiga picha...nikabak nawatazama...nan alio wadanganya kishkwamb mil 3? Nikaishia kucheka kimoyo moyo
 
Bora walim hata wakiwa na maisha magum ftesh wanaishi vile mungu anataka kuliko ww unaepigwa pumbu mpk imefikia hatua unataman kupigwa pumbu kuwa mwanaume umeshindwa unaona wanawake wanafaidi ss si bora walimu hawajafikia hatua ya kutaka kuwa mwanamke ili apate huduma kirahis baada ya kupigwa pumbu
 
Sasa hapo cha kuonea huruma ni kipi?
 
Unahangaika na mtu asiye na rinda achana naye bwana mnampa milage
 
I swear to God nitampa heshima za kutosha muokota makopo kwenye dampo, muuza maji kwenye foleni za magari ila sio walimu. Nitawachukia maisha yangu yote kwasababu ya akili zao zilivyo chini ya uwezo. wanaamrishwa tu, wanafedheheshwa, wanaburutwa, wanapigwa viboko na Wakuu wa Wilaya, wanachangishwa mpaka Mbio za Mwenge nayanatoa.

Walimu jitambueni, haiwezekani mkawa mnachangishwa Mbio za Mwenge huku serikali inatoa mabilioni kusaidia watu wa Uturuki na Malawi. Hivi akili zenu zipoje jamani, kwani mlipandikiziwa nini?

Sitaki kabisa mazoea na nyinyi, na kuanzia sasa naingia kwenye jukwaa la education kuna uzi wa walimu kubadilishana id's zote za kule nablock kwenye ukrasa wangu, nablock walimu wote kila mtandao mpaka Whatsapp, yaani applications zote nawablock hawa watu. Ni waoga mpaka napata mashaka na elimu yao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…