Walimu Mei mosi imekaribia, andaeni mabango ya maandamano ya Amani

Teaching education in Tanzania is embarrassing Kwa sababu serikali haiwapi haki zao
 
Kwa hiyo 1.6m umeiona nying Sana? Huo ni mshahara wa dereva Pale ewura
Kwanza asikutishe hakuna mwalimu huyo hiyo level hufik ushastafu. Halafu kwann nichukue mda mrefu wa zaidi ya miaka 30 kazini kufikia mshahara ambao ni pesa ndogo hata posho Kwa TPDC ni kubwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…