Walimu Mei mosi imekaribia, andaeni mabango ya maandamano ya Amani

Ndokily siku? Dagaa ni valueless huwez fananisha na samaki au kuku kienyeji
 
Hao walimu wanaolawiti wtoto kila sku na hao pia ni wale wale tu
Ulawiti unafanywa na Kila mtu,mapadri,masheikh nao wanalawiti,

Kwahiyo ilo vazi la ualimu,udaktari au upadri lisikutishe,chini ya hayo mavazi au majina hao ni binadamu kama wewe Wana hisia na nyama

Hivyo mwalimu siyo malaika
 
Wanapitia magumu sana
  1. Mshahara 700,000 kwa mwezi
  2. Nyumba ya kuishi mume, mke na watoto 200,000 kwa mwezi
  3. Nauli kwenda na kurudi kazini 100,000 kwa mawezi
  4. Ada za watoto
  5. Maji
  6. Umeme
  7. Chakula
  8. Mavazi
MWisho wa mwezi ana -ve balance
Mkuu hiyo laki saba mwalimu yupi? Labda walimu wa London au Berlin
 
Dignity ya michupi, wananuka madeni mpaka Nzi wanawafata matakoni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…