National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,177
- 56,121
Asije kuwa mpwayungu village ndio mpenzi wako na hausemi 😅Mie sina upande🤣🤣🤣 Nampa Moyo mdogo wangu....infact ana kipaji, atafika mbali🤣🤣🤣
Nyie, nyieee🤣🤣🤣🤣🤣🤣Asije kuwa mpwayungu village ndio mpenzi wako na hausemi 😅
mpwayungu village anataka kuwa kama Mamy K sasa watakuwaje wapenzi!?Asije kuwa mpwayungu village ndio mpenzi wako na hausemi 😅
Eeh bana Mrs Mpwayu 😅😅😅🥸Nyie, nyieee🤣🤣🤣🤣🤣🤣
mpwayungu village anataka kuwa demu sasa mtakuwaje wapNyie, nyieee🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Jf siri mingi 😅😅😅 huwezi juampwayungu village anataka kuwa kama Mamy K sasa watakuwaje wapenzi!?
AaahahaJf siri mingi 😅😅😅 huwezi jua
Milioni 200 za kazi gani?Hakuna mwalimu huyu Kwa msimamo wangu na nalijua hili kwakua najua akili zao za kujiongeza kibiashara ni zero. Ukiona mwalimu ana million mia tu ujue huyo kastafu juzi na baada ya wiki mbili utakuta kanunua pikipiki na anaanza ujenzi wa nyumba ya kimasikini isiyozidi million ishirini.
Walimu hawa sijui walimkosea nini mwenyezi Mungu. Jana Kuna mwalimu kalawiti mtoto wa darasa la tatu chooni, yani unafanya mapenzi kwenye vyoooo akili za walimu hizi dah.
Mpwayungu asivyotupenda walimu sasa, Kwanza angekuja kuanzisha Uzi humu walimu wananuka K🤣🤣🤣🤣Eeh bana Mrs Mpwayu 😅😅😅🥸
AaaahaahaqMilioni 200 za kazi gani?
Kwanza Mbinguni hazihitajiki milioni 200
😅😅 wana wake wana huruma sana.. usikute Mamy K kamuone huruma kijana , kaona amfuge tu asije potea mazimaAaahaha
Kweli usilolilijua mkuu
We sema ukweli tuMpwayungu asivyotupenda walimu sasa, Kwanza angekuja kuanzisha Uzi humu walimu wananuka K🤣🤣🤣🤣
Nawashukuru walimu wenzangu Kwa kujiweka mbali na mpwayu....tumejiheshimisha🤣🤣🤣
Kwa akili yako ya kuvukia barabara tu unahisi Kila ID mpya ni mgeni?Ulijiunga jamiiforum juzi tu tayari ushaanza kututukana wakongwe, kijana huna mwisho mrefu iam sure
Na siye tunampimia kipimo kile kile anachowapikia walimuChuki mbaya sana
Walimu tulivyo na huruma sasa, na mkopo NMB namchukulia🤣🤣🤣🤣😅😅 wana wake wana huruma sana.. usikute Mamy K kamuone huruma kijana , kaona amfuge tu asije potea mazima
PoisiKama zipi?
Na card ya bank unampa pamoja na password yake 😅😅😅.. si ukimfanyia hivyo atakuwa anakuja kututukana humu kabisaaWalimu tulivyo na huruma sasa, na mkopo NMB namchukulia🤣🤣🤣🤣
Hapo atatukana watanzania wote including Rais mwenyewe.🤣🤣🤣Na card ya bank unampa pamoja na password yake 😅😅😅.. si ukimfanyia hivyo atakuwa anakuja kututukana humu kabisaa
Waonee wengine huruma wengine siyo huyu mkwepa majukumu ya uanaume anayetamani apelekewe moto kama Mamy KWalimu tulivyo na huruma sasa, na mkopo NMB namchukulia🤣🤣🤣🤣