National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,177
- 56,121
Hata kada zingine hawapendani, dunia bila unafikia maisha hayaendi.. penye ridhiki unafiki upo tuhata walimu wao kwa wao hawapendani ni wanafki wakubwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata kada zingine hawapendani, dunia bila unafikia maisha hayaendi.. penye ridhiki unafiki upo tuhata walimu wao kwa wao hawapendani ni wanafki wakubwa
Yani unakuta Mwalimu wiki nzima anatoka kazini saa 12, hapo haishi nyumba ya shule, hajaenda lunch na hajui Kama ana haki ya saa nzima ya kwenda lunch, akitoka hapo Jumamosi kaita wanafunzi waje shuleni🤣🤣 mnawafundisha nini hasa ambacho hawakielewi kuanzia saa 2 asubuhi hadi saa 8.30?Hhhahaha wengi wanaropoka tu hawajui kitu
Anatamani kuwa huyo sisteri😅😅😅 umemuona huyo dada, umezitamani hela zake hadi umekuja anzisha uzi kwa njia ya indirect ili ujipozee..
Ahse poleni dearYani unakuta Mwalimu wiki nzima anatoka kazini saa 12, hapo haishi nyumba ya shule, hajaenda lunch na hajui Kama ana haki ya saa nzima ya kwenda lunch, akitoka hapo Jumamosi kaita wanafunzi waje shuleni[emoji1787][emoji1787] mnawafundisha nini hasa ambacho hawakielewi kuanzia saa 2 asubuhi hadi saa 8.30?
Eti muda wa ziada, muda wa ziada ni hiyari sio lazima.....walimu tusipojielewa tutadharauliwa Hadi na sisimizi.
Madam we ni mwalimu!?Yani unakuta Mwalimu wiki nzima anatoka kazini saa 12, hapo haishi nyumba ya shule, hajaenda lunch na hajui Kama ana haki ya saa nzima ya kwenda lunch, akitoka hapo Jumamosi kaita wanafunzi waje shuleni🤣🤣 mnawafundisha nini hasa ambacho hawakielewi kuanzia saa 2 asubuhi hadi saa 8.30?
Eti muda wa ziada, muda wa ziada ni hiyari sio lazima.....walimu tusipojielewa tutadharauliwa Hadi na sisimizi.
Naona upo na follower wako mnainyiiiiiiAhse poleni dear
AaaaahaaahhUmevurugwa ? wewe akaunti yako zipo ngapi ?
Mimi sio mwalimuUmevurugwa ? wewe akaunti yako zipo ngapi ?
AahahahahahMimi sio mwalimu
N. B. Mada ni mwalimu
Sawa, wewe siyo mwalimu unazo ngapi?Mimi sio mwalimu
N. B. Mada ni mwalimu
Na hii kiki siyo endelevuNaona umeamua kutumia kivuli cha walimu ili upate ku-trend jf. Unajidhalilisha tu kwa maoni yangu.
Wengi tusingekuwa hapa kama sio walimu, hata hivyo mbona kada nyingi tu watu hawana hizo pesa, mbona lawama kwa walimu pekee. Hapo ulipo account yako inasoma shilingi ngapi mkuu?
Weka thread yako nije nikujibu, hapa mada ni walimu kuwa mwelewaSawa, wewe siyo mwalimu unazo ngapi?
Huyo ni mwanasheria ambaye kiingereza tu ni shidaSawa, wewe siyo mwalimu unazo ngapi?
RelaxWeka thread yako nije nikujibu, hapa mada ni walimu kuwa mwelewa
Ulijiunga jamiiforum juzi tu tayari ushaanza kututukana wakongwe, kijana huna mwisho mrefu iam sureNa hii kiki siyo endelevu
Twende kazi
Tulimwwngusha JPM itakuwa huyu kapuku mnuka shida
Utaend Kwa mods!?Ulijiunga jamiiforum juzi tu tayari ushaanza kututukana wakongwe, kijana huna mwisho mrefu iam sure
Mie sina upande🤣🤣🤣 Nampa Moyo mdogo wangu....infact ana kipaji, atafika mbali🤣🤣🤣Naona upo na follower wako mnainyiiiiii
Aahaaaa
Mie sina upande🤣🤣🤣 Nampa Moyo mdogo wangu....intact ana kipaji, atafika mbali🤣🤣🤣