Pentamycin
JF-Expert Member
- Mar 18, 2023
- 210
- 281
Wamemtia mafuta ya Nazi,wahuni SI watuHao wote Hana shida nao
Hao wote hawakumlawiti wakati angali mdogo
Yeye ana bifu na walimu maana ndo waliokula ndogo yake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wamemtia mafuta ya Nazi,wahuni SI watuHao wote Hana shida nao
Hao wote hawakumlawiti wakati angali mdogo
Yeye ana bifu na walimu maana ndo waliokula ndogo yake
Mimi sio mwalimu, ila walimu wengi ni wanafiki nimekaa naoYeye mwenyewe mwalimu, Ila nampenda ni mwalimu anayejielewa na kuumizwa na Hali ya walimu wenzie....manake muda mwingine na sie tunazingua, unakuta mwalimu hajipendi, yupo yupo anavaa Kama halipwi mshahara....Yani chizi si chizi, ukiuliza mazingira....khaaa sasa mazingira ndo yanakuzuia kujipenda?
Kwenye Kazi sasa, mwalimu anategea Kazi, hafundishi ipasavyo....kila siku yeye ana udhuru, kutwa kukaa chini ya mti kupiga majungu walimu wenzie na mwalimu mkuu. Akimaliza muda wa Kazi linabaki shuleni kuendelea majungu akiswitch mada ni Simba na Yanga.....haumizi kichwa kutafuta shughuli nyingine ya kuingiza kipato au kufanya professional development.....afu kutwa kupiga miayo kusubiri nyongeza ya mshahara, Kwa Kazi ipi ulofanya?
Walimu tujirekebishe!
Matako yake, hana akili za kuwa mwanasheria .. hakuna mwanasheria mwenye moto kama wake..Mkuu huyo ni mwanasheria mwambie akuoneshe zake
Sio lazima maana mada ni walimuAchana na TPDC
Wewe si mwanasheria ebu tuonyeshe 200m zako
Nami nitajiunga na wewe kuwapondea walimu kuanzia Leo hii na hii signature yangu nitaifituta
Ujanja ukiuzidisha sio Muda mrefu utaitwa MshambaMimi nauliza mwalimu sijauliza wengine zaidi ya walimu Fata swali, una ulizwa unauza vitumbua wewe unajibu maandazi
Toka hapo kwa shemeji mume wa dadaakoWalimu wanafikili 200 million ni makalio
Hebu toka kwenye hiyo denial Kwanza....halafu fuata ushauri wangu, Kwa hiyo spirit ulonayo naona kabisa wewe utakuwa mwanamageuzi katika hii Kada.Mimi sio mwalimu, ila walimu wengi ni wanafiki nimekaa nao
Basi unampotoshaNdio Mpwayungu anadeal na hao wasiojielewa....Ila Kwa huu mtazamo wake atafika mbali.
Yani hii Kada ya ualimu ina watu ambao unaweza kujiuliza wanafikiria Kwa kutumia kiungo gani, unalikuta libaba lizima, mwili mkubwa Ila lioga lioga...halijui haki zake, Kazi majungu tu.
Mdogo wangu Mpwayungu usikate tamaa, Ile GPA yako ya 3.6 apply hata TEKU, muhimu umalize chuo tu upate cheti, au piga hata OPEN, na ukimaliza unga masters hapo hapo open.....ukipata uafisa elimu wanyoooshe hawa watu.
I can see your spirit utafika mbali.
Walimu wanafikili 200 million ni makalio
Acha dharau kiongozi, usiwe na mihemko ya kumchukulia mtu simpo na Wala hata sihitaji ujue mimi ni mwanasheria au daktari au mwalimu au askali au mkulima ila tu nakuomba heshimu watu hata kama hamjuani, kutokumkashifu mtu haikupunguzii chochote kileMatako yake, hana akili za kuwa mwanasheria .. hakuna mwanasheria mwenye moto kama wake..
Usijari si muda mrefu Hawa followers wako kwenye ujinga wako watakukimbiaSio lazima maana mada ni walimu
Sheria gani ya Kazi inamtaka mwalimu afundishe Hadi saa 12 jioni? Analipwa overtime?Wewe nawe hueleweki, unaambiwa walimu wafundishe hadi jioni saa 12. Sasa huo muda wa kutafuta kazi nyingine anapata wapi?
Kama unataka heshima kwanini usiwape kwanza walimu!?Acha dharau kiongozi, usiwe na mihemko ya kumchukulia mtu simpo na Wala hata sihitaji ujue mimi ni mwanasheria au daktari au mwalimu au askali au mkulima ila tu nakuomba heshimu watu hata kama hamjuani, kutokumkashifu mtu haikupunguzii chochote kile
Acha hizo imagination.. pambana na ukubaliane na hapo ulipo.. pesa inapatikana popote dogo, hata ukiwa deiwakaAcha dharau kiongozi, usiwe na mihemko ya kumchukulia mtu simpo na Wala hata sihitaji ujue mimi ni mwanasheria au daktari au mwalimu au askali au mkulima ila tu nakuomba heshimu watu hata kama hamjuani, kutokumkashifu mtu haikupunguzii chochote kile
Acha dharau kiongozi, usiwe na mihemko ya kumchukulia mtu simpo na Wala hata sihitaji ujue mimi ni mwanasheria au daktari au mwalimu au askali au mkulima ila tu nakuomba heshimu watu hata kama hamjuani, kutokumkashifu mtu haikupunguzii chochote kile
Heshimu wote ila sio mwalimuKama unataka heshima kwanini usiwape kwanza walimu!?
Hhhahaha wengi wanaropoka tu hawajui kituSheria gani ya Kazi inamtaka mwalimu afundishe Hadi saa 12 jioni? Analipwa overtime?
UsijariMimi sio mwalimu, ila walimu wengi ni wanafiki nimekaa nao
Anajites mwenyeweIla unawatesa sana waalimu.... Na omba wasiwajue wstoto wako..[emoji1787][emoji1787][emoji1787]