Walimu Mei mosi imekaribia, andaeni mabango ya maandamano ya Amani

Walimu Mei mosi imekaribia, andaeni mabango ya maandamano ya Amani

Ni muhimu kuzingatia kuwa kila mtu ana uwezo wa kujiongeza kibiashara, iwe ni mwalimu au mtu mwingine yeyote. Kuna walimu ambao wanajitahidi kujiongeza kibiashara na wanaweza kumiliki mali au biashara yenye thamani ya mamilioni ya shilingi. Hata hivyo, haiwezekani kusema kwa hakika kama kuna mwalimu yeyote nchini Tanzania ambaye amewahi kumiliki shilingi milioni mia mbili, kwani hii inategemea na mazingira na juhudi za mtu husika.

Hata hivyo, ni muhimu kutambua kuwa matukio ya uhalifu kama vile kesi ya kulawiti mtoto ni ya kusikitisha na hayakubaliki. Ni jukumu la kila mmoja wetu kuhakikisha tunalinda haki za watoto na kuhakikisha usalama wao. Ni muhimu kutoa taarifa kwa mamlaka husika kuhusu uhalifu wowote unaotokea ili hatua stahiki ziweze kuchukuliwa na kuhakikisha haki inatendeka.

Mambo yako yanapaswa kujibiwa na AI kama hapo juu [emoji3060][emoji3060]
 
Hizi pesa walimu mtabaki kuzisoma na kuandika ubaoni kwenye somo la hisabati
1680501170201.jpg
 
Ni kweli hizi kada hakuna masihara mkuu maana wanajitambua.

Sasa mwalimu hana posho ya kazi wala posho ya safari ama posho yoyote ile na bado anatumika kukata viuno kwenye chaguzi huku kada zingine zikiheshimiwa kwa kutofanyiwa udhalilishaji huo.

Eti ikifika nyakati za uchaguzi wakipewa ile kazi ya kuandikisha wapiga kura na kulipwa tulaki kadhaa basi wao wanaona bonge la heshima na kuthaminiwa kumbe lengo ni kuwatumia walimu kwakuwa hawana gharama kubwa tofauti na kutumia kada zingine ambazo zitadai maslahi makubwa.
hata walimu wao kwa wao hawapendani ni wanafki wakubwa
 
Basi unampotosha

Huwezi endesha gari ukiwa ndani

Mwabie aachane na ualimu ndo ayaseme haya

Usiwaze huyu idol wako Kuna siku si nyingi utamkataa humu

Tutakulete jina lake halisi,alizaliwa wapi,kasoma wapi,kasoma nini na anafnya nini

Utashangaa utakpaoona anachokiubili humu sicho anachokiishi

S
Huyu ni Mwalimu mwenzetu ujue, ana diploma ya 3.6 GPA...shida anawaza tofauti ndo mana anaonekana kipa katoka, Ila toka dunia iumbwe watu wote waliowaza tofauti na kundi kubwa la watu walionekana machizi......tumsaidie tu, msimdhalilishe....changamoto kwenye hii Kada zipo, tumpe mbinu. Siku mtasikia mpwa kajinyonga ndo mtajua mental illness is real.
 
Huyu ni Mwalimu mwenzetu ujue, ana diploma ya 3.6 GPA...shida anawaza tofauti ndo mana anaonekana kipa katoka, Ila toka dunia iumbwe watu wote waliowaza tofauti na kundi kubwa la watu walionekana machizi......tumsaidie tu, msimdhalilishe....changamoto kwenye hii Kada zipo, tumpe mbinu. Siku mtasikia mpwa kajinyonga ndo mtajua mental illness is real.
Tofauti na sisi,yeye ataki kujikubali

Na la pili anawadhalilisha walimu

Anawatweza na furaha yake ni wao waumie

Followers wake wajiandae kisaikololia
 
Ndio Mpwayungu anadeal na hao wasiojielewa....Ila Kwa huu mtazamo wake atafika mbali.
Yani hii Kada ya ualimu ina watu ambao unaweza kujiuliza wanafikiria Kwa kutumia kiungo gani, unalikuta libaba lizima, mwili mkubwa Ila lioga lioga...halijui haki zake, Kazi majungu tu.
Mdogo wangu Mpwayungu usikate tamaa, Ile GPA yako ya 3.6 apply hata TEKU, muhimu umalize chuo tu upate cheti, au piga hata OPEN, na ukimaliza unga masters hapo hapo open.....ukipata uafisa elimu wanyoooshe hawa watu.
I can see your spirit utafika mbali.
Mpwayungu kashapata catalyst
 
Back
Top Bottom