Kilimbatzz
JF-Expert Member
- Feb 11, 2023
- 9,134
- 14,593
Jiweke mbali na hili boflo madamHapo atatukana watanzania wote including Rais mwenyewe.🤣🤣🤣
😅😅😅 plus utamu unampea ... mbona tutaishi kama tupo motoniHapo atatukana watanzania wote including Rais mwenyewe.🤣🤣🤣
Bora huo utamu amtunuku rikiboy😅😅😅 plus utamu unampea ... mbona tutaishi kama tupo motoni
😅😅 mfamasiaBora huo utamu amtunuku rikiboy
Tusimtenge tumsaidie, Kwa hii Kazi yetu Kama umeanza Kazi kwenye kituo chenye mazingira mazuri Mshukuru Mungu, kuna mazingira yanavuruga ubongo, unajikuta umechanganyikiwa....usipokuwa vizuri unaweza kujikuta kwenye ulevi, sasa huyu kapata ugonjwa wa akili, Kama ilivyo mlevi huona raha akilewa na huyu huona raha akitukana walimu....though am certain huyu bado hajaajiriwa.Jiweke mbali na hili boflo madam
Hata kamaTusimtenge tumsaidie, Kwa hii Kazi yetu Kama umeanza Kazi kwenye kituo chenye mazingira mazuri Mshukuru Mungu, kuna mazingira yanavuruga ubongo, unajikuta umechanganyikiwa....usipokuwa vizuri unaweza kujikuta kwenye ulevi, sasa huyu kapata ugonjwa wa akili, Kama ilivyo mlevi huona raha akilewa na huyu huona raha akitukana walimu....though am certain huyu bado hajaajiriwa.
Msaidieni mwanaume mwenzenu. mpeni connection kabla hajawa papai.
AahahhaahWeee huyo Mzee wa kimasihara usimuite🤣🤣🤣🤣
Nisamehe MimiNa mie nipo hunioni.. hadi unarudisha mpira kwa Rikiboy 😅😅
aende wapi tenaa jamani..
Aahhaaahhaende wapi tenaa jamani..
Hana hasira yoyote huyompwayungu village ni mtu mwenye hasira sana dhidi ya madhila mabaya wanayofanyiwa Walimu na kwa bahati mbaya zaidi Walimu wenyewe hawajitambui (pengine) na hiki ndio kinachomuumiza Mpwa wangu. Naamini ana nia njema, kuna namna nyingi za kufikisha ujumbe, lengo ni kuwatia hamasa/hasira ili wajitambue na mamlaka ziache kuwatumia vibaya kwa kutumia walimu wachache.
Noma sana, kuna walimu wa hovyo mno kama huyo uliyemsemaYeye mwenyewe mwalimu, Ila nampenda ni mwalimu anayejielewa na kuumizwa na Hali ya walimu wenzie....manake muda mwingine na sie tunazingua, unakuta mwalimu hajipendi...