Walimu Mei mosi imekaribia, andaeni mabango ya maandamano ya Amani

Walimu Mei mosi imekaribia, andaeni mabango ya maandamano ya Amani

Jiweke mbali na hili boflo madam
Tusimtenge tumsaidie, Kwa hii Kazi yetu Kama umeanza Kazi kwenye kituo chenye mazingira mazuri Mshukuru Mungu, kuna mazingira yanavuruga ubongo, unajikuta umechanganyikiwa....usipokuwa vizuri unaweza kujikuta kwenye ulevi, sasa huyu kapata ugonjwa wa akili, Kama ilivyo mlevi huona raha akilewa na huyu huona raha akitukana walimu....though am certain huyu bado hajaajiriwa.
Msaidieni mwanaume mwenzenu. mpeni connection kabla hajawa papai.
 
Tusimtenge tumsaidie, Kwa hii Kazi yetu Kama umeanza Kazi kwenye kituo chenye mazingira mazuri Mshukuru Mungu, kuna mazingira yanavuruga ubongo, unajikuta umechanganyikiwa....usipokuwa vizuri unaweza kujikuta kwenye ulevi, sasa huyu kapata ugonjwa wa akili, Kama ilivyo mlevi huona raha akilewa na huyu huona raha akitukana walimu....though am certain huyu bado hajaajiriwa.
Msaidieni mwanaume mwenzenu. mpeni connection kabla hajawa papai.
Hata kama

Pambana na Hali Yako shida zako usizihamishie Kwa wengine kama yeye anavyofanya humu
 
mpwayungu village ni mtu mwenye hasira sana dhidi ya madhila mabaya wanayofanyiwa Walimu na kwa bahati mbaya zaidi Walimu wenyewe hawajitambui (pengine) na hiki ndio kinachomuumiza Mpwa wangu. Naamini ana nia njema, kuna namna nyingi za kufikisha ujumbe, lengo ni kuwatia hamasa/hasira ili wajitambue na mamlaka ziache kuwatumia vibaya kwa kutumia walimu wachache.
 
mpwayungu village ni mtu mwenye hasira sana dhidi ya madhila mabaya wanayofanyiwa Walimu na kwa bahati mbaya zaidi Walimu wenyewe hawajitambui (pengine) na hiki ndio kinachomuumiza Mpwa wangu. Naamini ana nia njema, kuna namna nyingi za kufikisha ujumbe, lengo ni kuwatia hamasa/hasira ili wajitambue na mamlaka ziache kuwatumia vibaya kwa kutumia walimu wachache.
Hana hasira yoyote huyo

Asikudanganye
 
Back
Top Bottom