Walimu Mei mosi imekaribia, andaeni mabango ya maandamano ya Amani

Open truth, [emoji17]
 
Aahhaaahh

Anaogopa shoo Yako

Naona anaona Bora amtunuku mzee wangu mtu mbad National Anthem
Mtamuua Mpwayungu, mwenzenu Leo kafurahi kapata matumaini ya PA kujiweka.....Wallahi ningemkopea NMB Nimlipie Ada ya masters ya open....imagine unasoma huku umefungiwa ndani, anashinda na taulo sebuleni huku anasoma kwenye PC...🤣🤣🤣🤣 Tungeona Kama angetukana walimu.
 
Ndo aache kuinyea mikono inayoweza kumlisha

Apunguze dharau

Tena kama mtoto wa kiume aache hayo mapigo
 
Aaahaajaja

Mkuu eti unataka kusoma Masters Open University of Tanzania!?

Sema Ili niongee na UVCCM wenzangu tuchangie Hela ya ada
Jamani Hilo niachieni Mie, nitamkopea bank....accommodation juu yangu....la sivyo tutampoteza huyu.
We mtafute connection ya uafisa elimu Ili akawafokee walimu vizuri.
 
Mimi ni mwl nina milioni 345.6
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…