Mwizukulu mgikuru
JF-Expert Member
- Oct 21, 2021
- 5,715
- 13,739
Jambo afandeMimi hapa bhana Mpwayungu, niliacha uaskari magereza nikahamia kufundisha nilifundisha miaka 11 bila kujua kuacha uaskari magereza, niliacha ualimu baada ya kupata kazi kwenye organization Fulani ya kawaida sana(Research institute), lakini mpaka leo napenda kufundisha!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Jambo afande
Ila mkuu askari magereza wengi wao wanapokuwa lindo hata ugali si mnakula wa wafungwa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nashangaa Mpwayungu kuwasimanga walimu, Mimi hiyo ni Moja ya kazi nilipenda sana kufanya (may be Kwa baby nilikuwa nafundisha wakubwa, form five na six) lakini sikuwahi kujutia kufundisha hata kidogo nikilinganisha na kulinda wafungwa...
Jamani kazi ya kulinda wafungwa ni jehanamu kabisaaa, tena isikieni tu...
Wako mkuu jamaa anasema ukweliHao wanaosema wapo Madaktari na Wahandisi wapo shule za Private ni waongo na wanafiki wakubwa watupe mfano wa hiyo Shule.. Labda anaongelea walimu wa vyuo vikuu ambao nao ukifika msimu wa uchaguzi wote wanachukua fomu za ccm kugombea ubunge
KWA hiyo wanasomesha kutokana na kukosa kazi za maanaWako mkuu jamaa anasema ukweli
Kuna mmoja Yuko shule Fulani maarufu tu yeye ni telecom engineer/computer engineer tena wa udsm.
Hawa mostly no wa watoto wa masikini hawana connection ni vile wako njema kichwani wanawakatia mapindi ya physics na maths madogo.
Tafuta njia mbadala ya kutrend humu njia yako ya kupitia mgongo wa walimu inakinaishaHakuna mwalimu huyu Kwa msimamo wangu na nalijua hili kwakua najua akili zao za kujiongeza kibiashara ni zero. Ukiona mwalimu ana million mia tu ujue huyo kastafu juzi na baada ya wiki mbili utakuta kanunua pikipiki na anaanza ujenzi wa nyumba ya kimasikini isiyozidi million ishirini.
Walimu hawa sijui walimkosea nini mwenyezi Mungu. Jana Kuna mwalimu kalawiti mtoto wa darasa la tatu chooni, yani unafanya mapenzi kwenye vyoooo akili za walimu hizi dah.
Blai sio bure Kuna ticha alikufumulia marinda mzazi wako !!! Sio bure aisee !! Sasa umejenga chuki na maticha!!! Million hizo sio mchezo hata pale Kijijini kwenu hakuna mwenye nazoHakuna mwalimu huyu Kwa msimamo wangu na nalijua hili kwakua najua akili zao za kujiongeza kibiashara ni zero. Ukiona mwalimu ana million mia tu ujue huyo kastafu juzi na baada ya wiki mbili utakuta kanunua pikipiki na anaanza ujenzi wa nyumba ya kimasikini isiyozidi million ishirini.
Walimu hawa sijui walimkosea nini mwenyezi Mungu. Jana Kuna mwalimu kalawiti mtoto wa darasa la tatu chooni, yani unafanya mapenzi kwenye vyoooo akili za walimu hizi dah.
Kwani wa diploma analipwaje hebu twambieImagine mshahara wa Mwalimu wa Diploma wenye Makato ya mikopo[emoji1787] Halafu mwalimu mwenyewe mgogo mvivuuuu, hana plan B....lazima apagawe.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ticha umekunywa chai kweli? Inaonekana umekopa sana mshahara wako unakatwa kinoma[emoji23][emoji23]
Psychologically huyu mtu ana shida sio bure ila kwakuwa hatumjui hatuna Cha kufuatilia ila ana shida kubwa Sana !!Naona umeamua kutumia kivuli cha walimu ili upate ku-trend jf. Unajidhalilisha tu kwa maoni yangu.
Wengi tusingekuwa hapa kama sio walimu, hata hivyo mbona kada nyingi tu watu hawana hizo pesa, mbona lawama kwa walimu pekee. Hapo ulipo account yako inasoma shilingi ngapi mkuu?
Oooh nakumbuka 2017 nikiwa Tabora,, kuna mwalimu mmoja alinishauri nisitegemee chanzo kimoja cha mapato wakati huo tukiwa kwenye ghala lake kahifadhi mpunga gunia 1,700/=. na hapohapo akiwa na ng'ombe takribani ,2,000/=. na akiwa anamiliki nyumba mbili.Kwanza niulize, hizo m 200 unamaanisha uwekezaji wake au m 200 zilizopo kwenye akaunti. Mpwayungu hao walimu waliopigika wako huko dar.. njoo vijijini huku kuna mwl yuko huku ana ng'ombe 1500, semi trailer moja na shamba la miti viberiti lenye miti 78,000 crdb walishamtembelea sana anawapiga chini kwa bei yao ndogo (naomba nisifungue code zake nyingi labda yuko humu)..
Sasa kuna walimu wengine huku kwetu wana vigest, maduka ya vifaa vya ujenzi, vigari vya passos, vitz kawaida tu nisijue akaunti zao zikoje.
Pia wapo wengine tulionao huku ambao tunawachukulia kuwa ni maskini tu ambao wewe ndio unawaona huko dar wana pikipiki boxer moja ya kwendea kazini, ana kanyumba kake hajapanga na ka shamba ka ekari tatu au mbili ka kulima mazao chakula ili kumaliza mwaka (we mpwayungu sijui ni kaka au dada maana ulitamani kuwa mwanamke unapotoa hoja za vipato vya walimu tunakucheki tu)
Ha ha huku tuna mwl ana miliki gereji, mashine za kusaga sasa ni utitiri.
Ushazoea kupakuliwa unayatajataja tu. Kavae diaperUtapata tabu sana nanitawapiga za uso mpaka mjinyee
Sawa. NESI wa MnyamaniEndelea kujidanganya ndugu mwalimu.
Ana diploma ya wapi huyu? Usikute kasomea cheti cha ualimu wa chekecheaMi nikifa na njaa wewe si utakuwa umeoza na kidiploma chako[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Huyu ni shogaHuyu ni mwalimu anayejichukia
Relax mkuu,tutamnyoosha tu,ata usiite mods,watuachie huyu mpwayungu village tunamweza