Walimu Mei mosi imekaribia, andaeni mabango ya maandamano ya Amani

Walimu Mei mosi imekaribia, andaeni mabango ya maandamano ya Amani

Mimi hapa bhana Mpwayungu, niliacha uaskari magereza nikahamia kufundisha nilifundisha miaka 11 bila kujua kuacha uaskari magereza, niliacha ualimu baada ya kupata kazi kwenye organization Fulani ya kawaida sana(Research institute), lakini mpaka leo napenda kufundisha!
Jambo afande
 
Jambo afande
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nashangaa Mpwayungu kuwasimanga walimu, Mimi hiyo ni Moja ya kazi nilipenda sana kufanya (may be Kwa baby nilikuwa nafundisha wakubwa, form five na six) lakini sikuwahi kujutia kufundisha hata kidogo nikilinganisha na kulinda wafungwa...

Jamani kazi ya kulinda wafungwa ni jehanamu kabisaaa, tena isikieni tu...
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nashangaa Mpwayungu kuwasimanga walimu, Mimi hiyo ni Moja ya kazi nilipenda sana kufanya (may be Kwa baby nilikuwa nafundisha wakubwa, form five na six) lakini sikuwahi kujutia kufundisha hata kidogo nikilinganisha na kulinda wafungwa...

Jamani kazi ya kulinda wafungwa ni jehanamu kabisaaa, tena isikieni tu...
Ila mkuu askari magereza wengi wao wanapokuwa lindo hata ugali si mnakula wa wafungwa
 
Hao wanaosema wapo Madaktari na Wahandisi wapo shule za Private ni waongo na wanafiki wakubwa watupe mfano wa hiyo Shule.. Labda anaongelea walimu wa vyuo vikuu ambao nao ukifika msimu wa uchaguzi wote wanachukua fomu za ccm kugombea ubunge
Wako mkuu jamaa anasema ukweli

Kuna mmoja Yuko shule Fulani maarufu tu yeye ni telecom engineer/computer engineer tena wa udsm.

Hawa mostly no wa watoto wa masikini hawana connection ni vile wako njema kichwani wanawakatia mapindi ya physics na maths madogo.
 
ninayo mifano hallisi miwili kwenye halmashauri yangu
1. alikuwa afisa utumishi ( ofisi ya utumishi ) na alikuwa anatupangia majukumu kaenda kusoma sasa ni Mwalim mkuu shule ya msingi tena vijiji huko
2. alikuwa Afisa mtendaji lata kwa sasa ni mwalimu wa Taaluma shule ya secondary ya kata
 
Wako mkuu jamaa anasema ukweli

Kuna mmoja Yuko shule Fulani maarufu tu yeye ni telecom engineer/computer engineer tena wa udsm.

Hawa mostly no wa watoto wa masikini hawana connection ni vile wako njema kichwani wanawakatia mapindi ya physics na maths madogo.
KWA hiyo wanasomesha kutokana na kukosa kazi za maana
 
Naisihi serikali iwaanzishie allowance maeneo matatu.

1. Standing au teaching allowance
2. House allowance (nyumba hakuna)
3. Transport allowance(au mafuta)

Mwalimu mpwayungu village kosa lake ni dhihaka anayoitumia lakini hoja wake ina mantiki tu.

Hii allowance ilikuwepo zamani ilitolewa. Upande wa Zanzibar kuna allowance walimu wanapewa.

Ova
 
Hakuna mwalimu huyu Kwa msimamo wangu na nalijua hili kwakua najua akili zao za kujiongeza kibiashara ni zero. Ukiona mwalimu ana million mia tu ujue huyo kastafu juzi na baada ya wiki mbili utakuta kanunua pikipiki na anaanza ujenzi wa nyumba ya kimasikini isiyozidi million ishirini.

Walimu hawa sijui walimkosea nini mwenyezi Mungu. Jana Kuna mwalimu kalawiti mtoto wa darasa la tatu chooni, yani unafanya mapenzi kwenye vyoooo akili za walimu hizi dah.

Tafuta njia mbadala ya kutrend humu njia yako ya kupitia mgongo wa walimu inakinaisha
 
Hakuna mwalimu huyu Kwa msimamo wangu na nalijua hili kwakua najua akili zao za kujiongeza kibiashara ni zero. Ukiona mwalimu ana million mia tu ujue huyo kastafu juzi na baada ya wiki mbili utakuta kanunua pikipiki na anaanza ujenzi wa nyumba ya kimasikini isiyozidi million ishirini.

Walimu hawa sijui walimkosea nini mwenyezi Mungu. Jana Kuna mwalimu kalawiti mtoto wa darasa la tatu chooni, yani unafanya mapenzi kwenye vyoooo akili za walimu hizi dah.

Blai sio bure Kuna ticha alikufumulia marinda mzazi wako !!! Sio bure aisee !! Sasa umejenga chuki na maticha!!! Million hizo sio mchezo hata pale Kijijini kwenu hakuna mwenye nazo
 
Naona umeamua kutumia kivuli cha walimu ili upate ku-trend jf. Unajidhalilisha tu kwa maoni yangu.

Wengi tusingekuwa hapa kama sio walimu, hata hivyo mbona kada nyingi tu watu hawana hizo pesa, mbona lawama kwa walimu pekee. Hapo ulipo account yako inasoma shilingi ngapi mkuu?
Psychologically huyu mtu ana shida sio bure ila kwakuwa hatumjui hatuna Cha kufuatilia ila ana shida kubwa Sana !!
 
Kwanza niulize, hizo m 200 unamaanisha uwekezaji wake au m 200 zilizopo kwenye akaunti. Mpwayungu hao walimu waliopigika wako huko dar.. njoo vijijini huku kuna mwl yuko huku ana ng'ombe 1500, semi trailer moja na shamba la miti viberiti lenye miti 78,000 crdb walishamtembelea sana anawapiga chini kwa bei yao ndogo (naomba nisifungue code zake nyingi labda yuko humu)..
Sasa kuna walimu wengine huku kwetu wana vigest, maduka ya vifaa vya ujenzi, vigari vya passos, vitz kawaida tu nisijue akaunti zao zikoje.
Pia wapo wengine tulionao huku ambao tunawachukulia kuwa ni maskini tu ambao wewe ndio unawaona huko dar wana pikipiki boxer moja ya kwendea kazini, ana kanyumba kake hajapanga na ka shamba ka ekari tatu au mbili ka kulima mazao chakula ili kumaliza mwaka (we mpwayungu sijui ni kaka au dada maana ulitamani kuwa mwanamke unapotoa hoja za vipato vya walimu tunakucheki tu)
Ha ha huku tuna mwl ana miliki gereji, mashine za kusaga sasa ni utitiri.
Oooh nakumbuka 2017 nikiwa Tabora,, kuna mwalimu mmoja alinishauri nisitegemee chanzo kimoja cha mapato wakati huo tukiwa kwenye ghala lake kahifadhi mpunga gunia 1,700/=. na hapohapo akiwa na ng'ombe takribani ,2,000/=. na akiwa anamiliki nyumba mbili.
So walimu wenye hela hizo wapo labdaa shida na idadi so kusema hawapo sio sahihi hata kidogo.
 
Walimu wenzangu,hili nalo tukalitazame...Mtoa mada nae kwa hakika ni mwalimu japo bado hajapata ajira na anasota kwa wazazi wake...tumvumilie!
 
Back
Top Bottom