Walimu Mei mosi imekaribia, andaeni mabango ya maandamano ya Amani

Walimu Mei mosi imekaribia, andaeni mabango ya maandamano ya Amani

Ila nyinyi walimu ni mazoba sana aisee
Kwamba kwa vile nimecomment for walimu basi nami mwalimu. Umesema kada zingine mnajielewa kweli? Wewe kada gani mkuu, manake naona bora hao walimu kuliko kada zenu mnazojisifu.

Kifupi, ungekuwa unajielewa usingefanya generalisation bila facts.
 
Ila kumbuka unaowatukana hapa ndio waliokupa uwezo wa kuandika Mkuu.

Hakuna mtu mwenye maarifa ambaye hajapita mikononi mwa waalimu Tanzania hii.

Inasikitisha sana mwalimu ndie mlezi wa maarifa yet mnamtukana kiasi hichi.

mzee mimi nimejifundisha kwa asilimia 80 na hizo zilizobaki ni wazazi na walimu

Kama ww ulimezeshwa kila kitu na walimu siyo mm
 
Mpwa ni tcha
JamiiForums-575292719_167x256.jpg
 
Kwanini uwe muoga kwenye kudai haki zako? Ivi unajua uoga unafedhehesha zaidi ya umasikini. Basi niwaambie tu mimi nitawadharau nasitawasalimia mpaka mtakapoandamana kudai haki zenu

Walimu wengi wana miaka zaidi ya kumi kazini ila wakiomba uhamisho hawapewi na vigezo wanavyo, uhamisho wa kubadilisha pia ni mbinde majina yanatoka ila vibali havitoki, una Miaka kumi na mbili ila umepanda daraja Mara moja tu, pesa yako ya kujikimu mpaka Leo hujamaliziwa unapewa nusu nusu, mshahara wako wa kwanza mpaka Leo hujalipwa unadai malimbikizo hata mfuko wa shangazi kaja unajaa, mnakaa kwenye magofu, Mnaishi Kwa kutukanwa, mnapigwa biti na mkuu wa shule mnapwaya, Mnaishi Kwa huzuni kama yatima, mna madeni yasiyoisha, mishahara yenu niyamiaka kumi nyuma Dunia ya sasa kupewa laki tano ni matusi, hamna posho yoyote, hata kununua pikipiki tu mpaka ukope maana kusave million Tatu na Familia uliyonayo haiwezekani.

Walimu walimu please Mei mosi nataka muandamane, nataka walimu mdai haki zenu. Vinginevyo nitawadharau mpaka kufa mmekuwa waoga kama ngiri jamani.

Halafu pendaneni muwe kitu kimoja hakuna mapinduzi bila umoja. Mkuu wa shule akileta ukuda mpigeni spana za kutosha kwenye vikao vyenu mpaka ajihisi kajinyea

Acheni woga hakuna wakuwakomboa zaidi ya kujikomboa nyinyi wenyewe, lazima ifike wakati mseme enough is enough
Mkuu Mpwayungu umetuamkia tena leo walimu? Ni lini utatupa nafasi tupumue? Hebu tuache kidogo basi. Mbona tuna chama chetu cha CWT kinatusemea?
 
Hebu msikilize mkuu mpwayungu village anapomshauri mwenzake kwenye post hii? Ujinga mtupu:
 
Sasa mkuu mkurugenzi atajuaje kwenye account yako Kuna pesa ya kutosha, watu nyie ni washamba sana ahseee dah 🤣🤣🤣🤣
Hujui kitu, kumbe wewe jinga sana akaunti ya mshahara ni akaunti ya mwajiri sasa iwe na millioni 200 kwa nn asijiridhishe..
Kumbe uko local sana aisee nilijua unavyoponda walimu nikajua uko smart kwenye uelewa...
 
Walimu badala ya kupambania maisha yao wajikwamue kwenye madeni wamekalia kuchapachapa watoto na ubakaji.

Mpfyuuuuuuuuuuuu zao.
 
Mtu anatamani kua mwanamke ili kusolve matatizo yake ya kiuchumi mnahisi anaweza kuwapa solution gani walimu ili wajikwamue kiuchumi?
 
Hakuna mwalimu huyu kwa msimamo wangu na nalijua hili kwakua najua huwa wagumu kujiongeza kibiashara.

Ukiona mwalimu ana million mia tu ujue huyo kastaafu juzi na baada ya wiki mbili utakuta kanunua pikipiki na anaanza ujenzi wa nyumba isiyozidi million ishirini.

Jana Kuna mwalimu kalawiti mtoto wa darasa la tatu chooni, yani unafanya mapenzi kwenye vyoo??

Kwanza kuandika kwenyewe ni shida tupu, pole sana!
 
Kosa ni la nani hapo kati ya muajiri na muajiriwa?

Lkn pia hakuna Mwl anayependa ualimu,ila USIPO PATA UNACHO KIPENDA,PENDA ULICHOPATA.

Ukizingatia hayo maandishi ya herufi kubwa hata kipato unachopata utaweza kukitumia kwa matumizi chanya na wala maradhi ya msongo wa mawazo km yanayo muandama Mwl Mpwayungu Village hayata kupata.
Uonevu na unyanyasaji tunaofanyiwa watumishi haufahi na hasa zaidi kwa Walimu na zaidi sana Walimu wa shule za Msingi.

Uoga wa Walimu unaanzia mbali sana,muulize mtu anayeishi karibu na vyuo vya kati (vinavyotoa mafunzo ya ualimu ngazi ya astashahada na stashahada atakwambia namna wanavyo lelewa).

Pili ni mfumo wa kipuuzi wa itikadi za CCM,hapa hawa jamaa unakuta tu uvccm tuna watisha wenzao (usipokuwa mwanachama ajira utazisikia magazetini na hata suala la kufukuzwa chuo kwako ni km kufuta maandishi yaliyo andikwa kwa kalamu ya risasi). Ndiyo maana utaona hata mchakato wa kutuma maombi ya ajira au mikopo ya elimu ya juu miongoni mwa waombaji wanaambatanisha kadi za uanachama.

Nenda halmashauri yoyote,weka kambi nje karibu na lango la kuingilia,walimu wote wanaoingia pale utawatambua hata km wewe ni mgeni.
Kwa nini inakuwa rahisi kuwatambua?
Ni kwa7bu ya mazoea yalipo miongoni mwa watoa huduma ktkt ofisi za halmashauri,Mwl atakalipiwa hata km hakuna ulazima huo. Lkn pia ni tabia za walimu kuendelea kuviishi vitisho vya vyuoni,sasa ni mwendo wa kuambukizana.

Mwl akiwa anajitambua,hakalipiwi.
Isipokuwa watoa huduma watambatiza jina la msumbufu au mjuaji.
Sasa hapa Mwl akiwa anahitaji huduma ambayo haihitaji hata muda wa dakika 5,inaweza ikamchukua siku 1 na kuendelea.

Madhara yake ni nini?
Taifa lina rudi nyuma kimaendeleo kwakuwa mtu m1 wa halmashauri kakataa kumhudumia mtu m1 ambaye anahudumia watu kuanzia 500 kwa siku 1.

Madhara mengine ni kuwa na wa taalamu wasio jiamini. Mtaalamu wa namna hii kutengeneza mtaalamu mwenye ufanisi ktk kazi nafasi yake ni ndogo sana. Anakuwa amejawa mashaka ktk kila nyanja kwakuwa mtu anaye fanya naye kazi kwa karibu (halmashauri)ana mnyanyapaa na kumnyanyasa.

Mfano,niseme ndugu yetu Mpwayungu ni Mwl,
Unadhani mtoto anaye fundishwa na Mwl Mpwayungu Village ana hali gani?

Je Mpwayungu Village anafundisha na kulea watoto wa ngapi?

Tuna liangamiza Taifa letu sisi tulio aminiwa na kupewa dhamana.
Leo hii mmomonyoko wa maadili siyo suala linalo hitaji maelezo meeeengi.

Mwl Mpwayungu Village ana tamani ange zaliwa mwanamke,huenda maafisa wenzake walioko halmashauri wasingekuwa wana mnyanyasa sana kwani kuna wengine ange wafungulia tu malango ya ikulu hivyo kupata ka mseleleko chapu.

Nakaribisha kukosolewa na ushauri.
Dah mkuu machozi yamenilengalenga[emoji22]! Bila shaka upo kwenye idara ya utumishi WA halmashauri tena huenda kitengo cha walimu. Binafsi mm sio mwalimu ila Nina marafiki wengi walimu maana shida zao huwa wananiletea mimi kuhitaji msaada wa kisheria (naijua sheria kiasi tu) na kifedha, kama Nina fedha huwa nawapa Lakin ajabu ni kuwa hawa walimu ni waoga mweee yani unakuta namtembela kwenye Kota zao za utumishi wanazoishi na mkuu wa shule unakuta mkuu anatoka chumbani tena mda wa kazi umeisha anaenda kumwambia mwalimu mwenzake atoe lesson plan akague kumbuka ni nje ya mda yani anadai saa kumi jioni akiona lesson plan mbovu anamwambia akae aandike mda huo huo sio kesho tena

Walimu wanafundisha mpaka jumapili ila wanaambulia matusi na wakuu wao wa kazi wabaya ni hawa wakuu wa shule na AEK hawa watu ni nyoka wenye sumu. Sasa ajabu hawapandi madaraja wakifatilia kupanda kwao Kwa daraja wanaambiwa wasumbufu (kama ulivyosema), kupewa posho ya likizo ni mtiti yani asubiri baada ya miaka miwili ila viongozi wengine siku ya pili tu muamala unasoma

Ukija kwenye ruhusa na kuhama kituo cha kazi hapa staki ata kusema nitatukana Bure
 
Back
Top Bottom