Walimu Mei mosi imekaribia, andaeni mabango ya maandamano ya Amani

Hujui kitu, kumbe wewe jinga sana akaunti ya mshahara ni akaunti ya mwajiri sasa iwe na millioni 200 kwa nn asijiridhishe..
Kumbe uko local sana aisee nilijua unavyoponda walimu nikajua uko smart kwenye uelewa...
Anajua namba yako ya siri, una wazimu wewe eti ni account ya mwajiri unafikiri wote wamefungua kadi walipopata kazi
 
NAFUNGA UZI HUU KWA KUSEMA

TOKA NIZALIWE SIJAWAHI ONA MWALIMU MWENYE MAENDELEO ZAIDI YA BAISKELI NA PIKIPIKI


KATAA UALIMU NI WA HOVYOO
 
Kwamba kwa vile nimecomment for walimu basi nami mwalimu. Umesema kada zingine mnajielewa kweli? Wewe kada gani mkuu, manake naona bora hao walimu kuliko kada zenu mnazojisifu.

Kifupi, ungekuwa unajielewa usingefanya generalisation bila facts.
Yani hata nafsi yako inakusuta huwezi kujinasibu mbele za watu wewe ni Mwalimu.

Hakuna mwalimu mtanashati Tanzania hata awe na hizo pesa anazozisema Mpwayungu umeshawahi kujiuliza kwanini?

Walimu mnatia huruma sana
 
Yani hata nafsi yako inakusuta huwezi kujinasibu mbele za watu wewe ni Mwalimu.

Hakuna mwalimu mtanashati Tanzania hata awe na hizo pesa anazozisema Mpwayungu umeshawahi kujiuliza kwanini?

Walimu mnatia huruma sana

kunywa pepsi ya bure.

wewe ni kati ya watanzania wachache waliobahatika kujitambua
 
Umesema kweli mkuu,
Shida kubwa ni kwamba Walimu pengine na kada zingine wengi hawajui taratibu za kazi,hawajui ni wapi wapate haki zao,hawana uthubutu wa kuonana na Mkurugenzi hata siku moja.

Kwa7bu hizo hapo juu,hawa maafisa wa chini wakati mwingine hata kushirikiana na Mkurugenzi huwanyanyasa sana watumishi hawa.

Yaani unakuta mpaka wale wa masijala nao wanajiinua na kumletea mtumishi hasa Mwl kibesi!

Nilikuwa halimashauri moja nikiwa nimepeleka barua zangu za madai flani,sasa yule wa masijala akataka kuwa mjuaji nadhani alikuwa amechoka tu,
akawa anataka kunipa majibu ya madai yangu.

Nikamuuliza,kati ya hizo anuani zilozoko kwenye hizo barua ni ipi imeelekezwa kwako?
Unanipatia ufafanuzi wewe km nani?

Kidogo,afisa utumishi akawa amepita,nikamwambia njoo twende kwa boss wako hapa. Bado ana kenua macho mi nikaenda,nikamwambia ebu mwambie huyo mtu wa masijala kuhusu muongozo unavyosema kuhusu jambo flani. Kumbuka muda huo huyu afisa utumishi hajajua mi ni nani,akafunua kitabu akasoma,akamuita,buanabuana,jamaa aliishiwa charge akabaki kusema tu,mimi nilidhani ni km zamani.

Nilimwambia kuwa halikuwa jukumu lako kunipa ufafanuzi ilihali wewe halikuhusu,fanya kazi yako.
 
mzee mimi nimejifundisha kwa asilimia 80 na hizo zilizobaki ni wazazi na walimu

Kama ww ulimezeshwa kila kitu na walimu siyo mm
kubisha hakukujengi, kubali umezingua ujifunze nidhamu Mkuu.

Anyway tuufunge mjadala bosi
 
NAFUNGA UZI HUU KWA KUSEMA

TOKA NIZALIWE SIJAWAHI ONA MWALIMU MWENYE MAENDELEO ZAIDI YA BAISKELI NA PIKIPIKI


KATAA UALIMU NI WA HOVYOO
Tembea uone,wapi Wana mahari ya milioni ishirini na majumba kibao ya kupangisha
 
Walimu badala ya kupambania maisha yao wajikwamue kwenye madeni wamekalia kuchapachapa watoto na ubakaji.

Mpfyuuuuuuuuuuuu zao.
Hutaki wakiadhibiwa ? wakipotea kimaadili mtakuja tena kulaumu ,na suala la ubakaji lipo kila sehemu hujasikia daktari kabaka mgonjwa au kaomba rushwa ya ngono
 
We fala c ni mwalimu wewe
 


mpwayungu village umetuchokoza walimu lazima ukimbie kivuli chako mwenyewe
 
Nawapa mbinu za mapambano, msikubali mwalimu mwenzenu aonewe pingeni Kwa nguvu zote. Kumekuwa na tabia ya watendaji wa halmashauri, wakuu wa shule, afisa elimu Kata, madiwani na viongozi wa tamisemi, wizara ya elimu kuwafokea na kuwaonea walimu.

Mara nyingi wakidai haki zao wanaambiwa wana fujo, kwann mtu akidai chake au kukataa maagizo haramu mnamwita mchokozi, anafanya vurugu, sio mzalendo mnapigisha barua za kutosha na vitisho juu kwani akipewa haki zake kuna shida.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…