Walimu Mei mosi imekaribia, andaeni mabango ya maandamano ya Amani

Mimi nimejiunga kutokana na nyuzi zake sioni haja ya mpwayungu kusakamwa baya kuliko lote namm naambiwa ni mpwayungu
 
Upo sahihi mkuu, walimu maboss zake wanaanzia Kwa mwenyekiti wa kitongoji, anakuja mtendaji wa kijiji anakuja mwenyekiti wa kijiji anakuja diwani.. Mpaka Rais na watu wote wa CCM
 
Walimu kazi wanayo Huu mwaka, labda JF ifutwe ila kam itaendelea kuwepo Inabid Mjifunze tu kuvumilia ukweli mchungu wa Bwana Mpwayungu Village. THE RETURN OF MPWAYUNGU VILLAGE
Mpwayungu village alikuwa sahh sijui kwann walimpiga ban, anyway tunamuombea ban yake iishe haraka ili tuungane kuwasemea walimu
 
Kweli w
Mpwayungu village alikuwa sahh sijui kwann walimpiga ban, anyway tunamuombea ban yake iishe haraka ili tuungane kuwasemea walimu
Kweli wamemkosea sana Jamaa alikuwa anawatetea walimu na sio kuwadharirisha kam wengi wanavyodhani, ila ndhvyo siku zote msema kweli ni adui wa Wajinga. Mimi binafsi Nipo upande wa mpwayungu village
 
Mpwayungu nadhani ni muda sahihi kabisa wa wewe kutafuta mume akuoe. Hamia South Africa ambako kumehalalishwa haya mambo ya kishenz. Kule SA watakutimizia hitaji lako. Wewe una tatizo kubwa sana la kisaikolojia. Adui yako ni wewe mwenyewe sio waalimu. Nakusihi achana na hayo mambo ya kujutia maisha uliyopitia. Sisi wote tushawahi fanya makosa mengi yanayotugharimu ila tunapambana sana kukabiliana nayo. Wewe inaonekana pia kuna makosa uliwahi fanya hadi ukafikia hatua ya kuuchukia uanaume wako. Chagua kukataa fikra mbaya.
 
Baada ya kuukata ualimu sasa ameamua kukataa na uanaume?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…