Mpk nakua nili be inspire kua mwalimu kutokana na WALIMU niliona kua nao karibu kimakuzi badaee nililikwepa hili Shimo......
Katika jamii nyingi za ki maskini mpaka muda huu nao andika waalimu wanaishi maisha ya kifalme....
Kuna WALIMU wamesha Toka kimaisha maana wamejiwekeza Kwa kucheza na fursa huko vijijini.....
Mwalimu ndie mtumishi pekee asiye kua na malupulupu....
Mwalimu ndie ana maboss wengi, mratibu,diwani, mkurugenzi, DC, Rc, Mbunge....
Mwalimu ataambiwa achangie Mwenge.....ata pewa maelekezo na atatumika ipasavyo....
Inashangaza sana mtu kuandika Haya maneno...PIGA VITA UALIMU KATAA KUA MWALIMU NI UMASKINI NA UTUMWA...
Ndio,
Kama ni Coward government lazima uingie matatizoni....