Kilimbatzz
JF-Expert Member
- Feb 11, 2023
- 9,134
- 14,593
Hakuna mapovu hapa,tuendelee kutiririka pamoja utaoana ni nani katai ya jike dume na walimu nani anaweka silaha chiniAnayoandika ni kweli we huoni mapovu hayo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna mapovu hapa,tuendelee kutiririka pamoja utaoana ni nani katai ya jike dume na walimu nani anaweka silaha chiniAnayoandika ni kweli we huoni mapovu hayo?
Ningemshauri mtu kula dagaa mwaka mzima akaongeza calcium, iron, magnisium na part of it protein kuliko janaume linalotafuta basha hadharani mfano wa Mpwayungu-gayHalafu wanasema dagaa ndo mboga nzuri [emoji1787]
Mimi mpwayungu namjua tulikua nae kwenye group la ajira Za ualimu zilizotangazwa mwaka Jana, alikua anakesha mpaka saa 8 usiku.Usicheke mkuu,yeye mwenyewe mwalimu mwenzangu mpwayungu village alishwahi leta thread humu kuwa anasaafiri Kwa V8 Toka dar mpaka bukoba na alipoombwa ushaidi akatuletea picha ya V8 la mtandaoni na watu wakamuumbua
Hivyo hakuna jipya hapa,labda yeye ndo ajaribu kuprove kama hiyo picha ni ya mtampnfaoni
HakikaPamoja na ugumu wao ila hawajafikia kutamani kuwa jinsia fulani.
Ningemshauri mtu kula dagaa mwaka mzima akaongeza calcium, iron, magnisium na part of it protein kuliko janaume linalotafuta basha hadharani mfano wa Mpwayungu-gayHalafu wanasema dagaa ndo mboga nzuri [emoji1787]
Mkuu,huyu mpwayungu village nishamuwahi,ni halali yangu,mniachieNingemshauri mtu kula dagaa mwaka mzima akaongeza calcium, iron, magnisium na part of it protein kuliko janaume linalotafuta basha hadharani mfano wa Mpwayungu-gay
huku na wewe ukiliwaHawa wajinga nitakula nao sahani moja
AaahahajaMimi mpwayungu namjua tulikua nae kwenye group la ajira Za ualimu zilizotangazwa mwaka Jana, alikua anakesha mpaka saa 8 usiku.
Hhhahaha mkuu siku nenda na harrier tu kwenye shule zao uone watakavyokimbizanaDaaah walimu......... kwenye hilo la uoga ni sawa,kuna shule ya msingi nilipita staki kuitaja nilimwita Mwalimu alivyokuja kiuoga...... inasikitisha sana
Labda alidhani wewe ni panya road mkuu msamehe bureDaaah walimu......... kwenye hilo la uoga ni sawa,kuna shule ya msingi nilipita staki kuitaja nilimwita Mwalimu alivyokuja kiuoga...... inasikitisha sana
Nachukua picha za FacebookLabda mwalimu wa madrasaView attachment 2567983
[emoji23][emoji23][emoji23] we jamaa walimu wamekufanyaje mbona unawaua hivi.Ninao watatu hapa wameshindwa kulipa deni langu nimewapakata wanasubiri mafuta ya nazi
Ebu liposti hapa Hilo Harrier kama ulivyopost lile li V8Hhhahaha mkuu siku nenda na harrier tu kwenye shule zao uone watakavyokimbizana
🤣🤣Waoga sana, sijui nikwaniniHhhahaha mkuu siku nenda na harrier tu kwenye shule zao uone watakavyokimbizana
Kama wewe ulivyposti lile li V8,umesahau mkuuNachukua picha za Facebook
Waalimu wamekataa ushoga ndo maana wanakula vya halali hata kama ni dagaa. Wewe uliyeamua kujitangaza shoga endelea kula vinono.Kuna nyumba ya jirani yetu ni mwalimu kila siku wanakula ugali wa muhogo na dagaa wa bukoba, hawa watu Dunia imewatenga hata mimi nimewapiga marufuku Kuja nyumbani kwangu pamoja na watoto wao wasije kuniambukiza pepo la uoga na ufukara
Walimu mnakera ifike hatua mjipende huwa hamuogi nguo zenu ni hizo hizo
Ulivaaje siku hiyo mkuu,ukute ulienda kama wale wakusanya makopo na maplastiki,wakadhan we ni mwendazimu🤣🤣Waoga sana, sijui nikwanini