Walimu Mei mosi imekaribia, andaeni mabango ya maandamano ya Amani

Walimu Mei mosi imekaribia, andaeni mabango ya maandamano ya Amani

Usicheke mkuu,yeye mwenyewe mwalimu mwenzangu mpwayungu village alishwahi leta thread humu kuwa anasaafiri Kwa V8 Toka dar mpaka bukoba na alipoombwa ushaidi akatuletea picha ya V8 la mtandaoni na watu wakamuumbua

Hivyo hakuna jipya hapa,labda yeye ndo ajaribu kuprove kama hiyo picha ni ya mtampnfaoni
Mimi mpwayungu namjua tulikua nae kwenye group la ajira Za ualimu zilizotangazwa mwaka Jana, alikua anakesha mpaka saa 8 usiku.
 
Labda mwalimu wa madrasa
IMG_20230314_205605_983.jpg
 
Kuna nyumba ya jirani yetu ni mwalimu kila siku wanakula ugali wa muhogo na dagaa wa bukoba, hawa watu Dunia imewatenga hata mimi nimewapiga marufuku Kuja nyumbani kwangu pamoja na watoto wao wasije kuniambukiza pepo la uoga na ufukara

Walimu mnakera ifike hatua mjipende huwa hamuogi nguo zenu ni hizo hizo
Waalimu wamekataa ushoga ndo maana wanakula vya halali hata kama ni dagaa. Wewe uliyeamua kujitangaza shoga endelea kula vinono.
 
Hivi muda wa kufuatilia jirani kala nini mnautoa wapi huna mambo ya kufanya kama ni huo mkopo ulokopesha kwan wao ni wa kwanza kudaiwa mbona hata nchi inadaiwa ,hao ulowakopesha ndo wamekufanya uwachafue walimu wote ?mxxxxx
 
Back
Top Bottom