Kilimbatzz
JF-Expert Member
- Feb 11, 2023
- 9,134
- 14,593
Ale vinono na kukalia vidole juuWaalimu wamekataa ushoga ndo maana wanakula vya halali hata kama ni dagaa. Wewe uliyeamua kujitangaza shoga endelea kula vinono.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ale vinono na kukalia vidole juuWaalimu wamekataa ushoga ndo maana wanakula vya halali hata kama ni dagaa. Wewe uliyeamua kujitangaza shoga endelea kula vinono.
Inawezekana na muonekano wangu mei bii cos sura yangu haieleweki.........ila alinisikitisha.....cos ni secondary na huyu bila shaka anadegree....... confidence zero kabisaLabda alidhani wewe ni panya road mkuu msamehe bure
Anayoandika ni kweli we huoni mapovu hayo?
Huyu ni jike dume,ndiyo maana anapata muda wa kufanya umbea umbea Kama wanawakeHivi muda wa kufuatilia jirani kala nini mnautoa wapi huna mambo ya kufanya kama ni huo mkopo ulokopesha kwan wao ni wa kwanza kudaiwa mbona hata nchi inadaiwa ,hao ulowakopesha ndo wamekufanya uwachafue walimu wote ?mxxxxx
Utakuwa una sura ya kipanya road,wakaanza kuhofia kuwa utapita na vishikwambi vyaoInawezekana na muonekano wangu mei bii cos sura yangu haieleweki.........ila alinisikitisha.....cos ni secondary na huyu bila shaka anadegree....... confidence zero kabisa
Nilivaa kama wale watu wa promosheni ya vyombo vya plastics...........unavaa tai hata kama ni t-shirt ya 4m6U
Ulivaaje siku hiyo mkuu,ukute ulienda kama wale wakusanya makopo na maplastiki,wakadhan we ni mwendazimu
[emoji23][emoji23][emoji23] kaa mbali na maeneo ya shule watakumezaNajinyonga [emoji23]
BAsi wakajua wewe mnyonya damuNilivaa kama wale watu wa promosheni ya vyombo vya plastics...........unavaa tai hata kama ni t-shirt ya 4m6
🤣🤣🤣Sura yangu mashindano ya sura mbaya naweza kushinda bila shaka,ila waalimu walitufundisha mwandiko na mambo mengi......ila ndugu zetu hawa waoga sanaUtakuwa una sura ya kipanya road,wakaanza kuhofia kuwa utapita na vishikwambi vyao
🤣🤣🤣Waoga tuBAsi wakajua wewe mnyonya damu
Swala kaona simbaHhhahaha mkuu siku nenda na harrier tu kwenye shule zao uone watakavyokimbizana
Shida ya walimu hasa wa Msingi Wana mabos wengi,mwalimu mmoja huyo huyo ni answerable Kwa:🤣🤣🤣Sura yangu mashindano ya sura mbaya naweza kushinda bila shaka,ila waalimu walitufundisha mwandiko na mambo mengi......ila ndugu zetu hawa waoga sana
Nooooo,walijia we panya road🤣🤣🤣Waoga tu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wanaweza choma gari motoBAsi wakajua wewe mnyonya damu
Hicho ndio chakula salama kabisa, huyo mwalimu atakuwa anakuja kukusalimia hospitali baada ya miaka ishirini ukiwa unaumwa sukari, presha na ngiriKuna nyumba ya jirani yetu ni mwalimu kila siku wanakula ugali wa muhogo na dagaa wa bukoba, hawa watu Dunia imewatenga hata mimi nimewapiga marufuku Kuja nyumbani kwangu pamoja na watoto wao wasije kuniambukiza pepo la uoga na ufukara
Walimu mnakera ifike hatua mjipende huwa hamuogi nguo zenu ni hizo hizo
Anyway tuwaache waalimu,kunguru muoga huishi miaka mingiNooooo,walijia we panya road
@na kunguru huyo ni mpwayungu villageAnyway tuwaache waalimu,kunguru muoga huishi miaka mingi