Walimu Mei mosi imekaribia, andaeni mabango ya maandamano ya Amani

Walimu Mei mosi imekaribia, andaeni mabango ya maandamano ya Amani

Kuna nyumba ya jirani yetu ni mwalimu kila siku wanakula ugali wa muhogo na dagaa wa bukoba, hawa watu Dunia imewatenga hata mimi nimewapiga marufuku Kuja nyumbani kwangu pamoja na watoto wao wasije kuniambukiza pepo la uoga na ufukara

Walimu mnakera ifike hatua mjipende huwa hamuogi nguo zenu ni hizo hizo
73C112B6-627A-4C6A-8C7E-FCB23BBC5E32.jpeg

Waache 🤣🤣
 
Mpwayungu kwenye mambo ya Walimu yupo sahihi nadhani uwasilishaji wake ndio tatizo wale wahuni wa chama cha Walimu wanaojifanya viongozi ndio wananufaika na sio Walimu ni kweli Walimu wana changamoto ambazo Serikali inatakiwa izifanyie kazi ili nao waishi maisha bora na kutoa wanafunzi wengi wenye ubora...
 
Siku zote vijana wenye ugumu wa maisha lazima wajitahidi kujifariji kama huyu pimbi
 
Mpwayungu kwenye mambo ya Walimu yupo sahihi nadhani uwasilishaji wake ndio tatizo wale wahuni wa chama cha Walimu wanaojifanya viongozi ndio wananufaika na sio Walimu ni kweli Walimu wana changamoto ambazo Serikali inatakiwa izifanyie kazi ili nao waishi maisha bora na kutoa wanafunzi wengi wenye ubora...
Take home kima cha chini ya Mwalimu ni shilling ngapi kwa mwezi?
 
Siku zote vijana wenye ugumu wa maisha lazima wajitahidi kujifariji kama huyu pimbi
 
Kuna nyumba ya jirani yetu ni mwalimu kila siku wanakula ugali wa muhogo na dagaa wa bukoba, hawa watu Dunia imewatenga hata mimi nimewapiga marufuku Kuja nyumbani kwangu pamoja na watoto wao wasije kuniambukiza pepo la uoga na ufukara

Walimu mnakera ifike hatua mjipende huwa hamuogi nguo zenu ni hizo hizo
Nani anakera kati ya mwalimu na Shoga?
 
Mbona walimu wa huku kwetu wapo vizuri sana kiuchumi,hawategemei ualimu tu.

Hila nawe ache chuki zako,bila mwalimu ungekuwa unaomba wadau wakusomee sms.
 
Kuna nyumba ya jirani yetu ni mwalimu kila siku wanakula ugali wa muhogo na dagaa wa bukoba, hawa watu Dunia imewatenga hata mimi nimewapiga marufuku Kuja nyumbani kwangu pamoja na watoto wao wasije kuniambukiza pepo la uoga na ufukara

Walimu mnakera ifike hatua mjipende huwa hamuogi nguo zenu ni hizo hizo
Inaelekea mpwayungu hukuwa unafanya vizuri shuleni kuanzia huko shule ya msingi na katika harakati za waalimu kukusaidia walikuadhibu mara kwa mara, na kwa sababu hiyo ukajenga chuki juu yao hadi leo! Kuwachukia waalimu hakutaondoa matatizo yako ambayo unajua ni mengi sana!

Lakini pia siyo kweli kuwa waalimu ndio wenye maisha magumu au wenye kipato kidogo kuliko watumishi wengine. Kwa ujumla watumishi wote wa serikali ngazi ya kati wakiwemo waalimu kipato chao ni kidogo. Lakini ukilinganisha mishahara yao, waalimu ndiyo wenye mshahara mkubwa kuliko wengine. Kwa mfano mwalimu mwenye shahada ana mshahara mkubwa zaidi ya afisa utumishi mwenye shahada kwa maana ya kianzia mshahara. Lakini watu wamekariri kwa makosa kuwa mshahara wa mwalimu ni mdogo!

Huyo mwalimu uliyemtolea mfano hawezi kuwa kielelezo cha waalimu wote!! Kila kazi kuna waajiriwa walioshindwa maisha na wanaishi maisha magumu kutegemea na mtu anavyoyaendesha maisha yake. Nenda shule yoyote ya msingi au sekondari ukaone magari ya kutembelea ya walimu yakiwa yamepaki!! Waalimu wamejenga majumba ya kuishi, wanamiliki biashara na mashamba na wana maisha mazuri kuliko unayotaka kutuambia. Mtu yeyote mwenye kazi yoyote anaweza kupigika na maisha kama asipokuwa makini. Kuna madaktari nawafahamu ni choka mbaya japo wana mishahara mizuri kidogo. Ni namna tu mtu anavyopangilia maisha yake. Mtumishi yeyote mshahara haumtoshi lazima awe na namna ningine HALALI ya kuendesha maisha!!

Sema usemavyo lakini walimu ni watu wanaostahili sana kuheshimiwa sana katika jamii, na watu wanaojitambua wanawaheshimu sana waalimu. Ni baadhi tu ya wachache ukiwamo wewe ndio hamna adabu kwa waalimu wenu na ni matatizo yenu wenyewe!
 
Mbona walimu wa huku kwetu wapo vizuri sana kiuchumi,hawategemei ualimu tu.

Hila nawe ache chuki zako,bila mwalimu ungekuwa unaomba wadau wakusomee sms.
Nimemwambia atembelee shule yoyote ya msingi au sekondari ajionee magari waliyopaki waalimu ambayo yeye hana ndoto hata za kuyamiliki!!

Kuna mwalimu alianzisha ujenzi wa bonge la jumba la kuishi. Majirani zake wakawa wanasema yawezekana anasimamia nyumba ya mtu mwingine, lakini alipoimaliza na kuhamia wote wakanywea!! Hakuishia hapo, alipomaliza nyumba akanunua gari zuri la kutebelea ikabidi wafunge midomo!
 
Dagaa wana protein nyingi sana, kwahiyo walimu wengi miili yao itakuwa rich in protein.. watalaam watatuambia faida ya protein japo ina msaada kwenye kujigijigi.
 
Back
Top Bottom