Walimu Mei mosi imekaribia, andaeni mabango ya maandamano ya Amani

Walimu Mei mosi imekaribia, andaeni mabango ya maandamano ya Amani

Wapi katukana?

Onesha tusi hapo kwenye hoja ya mleta mada.

Vitendo vya ulawiti vimekithiri kwa walimu sijui ndo imani za kishirikina wanaamini ili wapandishwe madaraja kimazabe walau wapate kamshahara kingi kingi kidogo.

Watu wanaoaminiwa kuwa walezi wa watoto wawapo mashuleni badala yake wamekuwa walawiti.
Umetokea wapi Chief???

Ungetuliza munkari wa ushawishi nadhani ungeelewa comment yangu ni ujumuisho wa topic zake zote za kunanga walimu.

Kwa swala la ulawiti hiyo ni tabia ya mtu na si kada yake. Kuna masheikh na maaskofu wanalawiti watoto, haimaanishi wafuasi wote wa imani zao nao wanalawiti.

Anyways tunatofautiana uelewa hivyo si sehemu yangu kuelewa unachoelewa ama kukulazimisha uelewe nielewacho.

Uwe na Jumatatu yenye baraka tele.
 
Naona umeamua kutumia kivuli cha walimu ili upate ku-trend jf. Unajidhalilisha tu kwa maoni yangu.

Wengi tusingekuwa hapa kama sio walimu, hata hivyo mbona kada nyingi tu watu hawana hizo pesa, mbona lawama kwa walimu pekee. Hapo ulipo account yako inasoma shilingi ngapi mkuu?
Kwamba mwalimu aliyelawiti mtoto WA darasa la tatu ulitaka nifiche nimsingizie daktari?
 
Madaktari, wanasheria, wahandisi, masesi etc
Ni kweli hizi kada hakuna masihara mkuu maana wanajitambua.

Sasa mwalimu hana posho ya kazi wala posho ya safari ama posho yoyote ile na bado anatumika kukata viuno kwenye chaguzi huku kada zingine zikiheshimiwa kwa kutofanyiwa udhalilishaji huo.

Eti ikifika nyakati za uchaguzi wakipewa ile kazi ya kuandikisha wapiga kura na kulipwa tulaki kadhaa basi wao wanaona bonge la heshima na kuthaminiwa kumbe lengo ni kuwatumia walimu kwakuwa hawana gharama kubwa tofauti na kutumia kada zingine ambazo zitadai maslahi makubwa.
 
Kuna waalimu nimewashudia kadhaa kwenye maisha yangu wakiepo na utajiri mkubwa. Mmoja mwaka 2007 alikuepo lilondo Songea alikuepo na duka la jumla jumla , Scania 2 na biashara kubwa ya kununua misitu na kuchana mbao kusafirisha kuuzia Dar es salaam
 
M
Ahsee niwe mwalimu mimi? Niyaheri nikauze ming'oko lindi
Ming'oko haistahili kuliwa na wewe

Twende kazi mpaka pale utakapoamua kujikubali wewe mwenyewe uhalisia wako

Bahati nzuri maisha yako unayakosea Kwa kuendekeza uongo na Kuwwa na kumbukumbu fupi ya kile ulichokisema nyuma

Wewe ni mwepesi
 
Umetokea wapi Chief???

Ungetuliza munkari wa ushawishi nadhani ungeelewa comment yangu ni ujumuisho wa topic zake zote za kunanga walimu.

Kwa swala la ulawiti hiyo ni tabia ya mtu na si kada yake. Kuna masheikh na maaskofu wanalawiti watoto, haimaanishi wafuasi wote wa imani zao nao wanalawiti.

Anyways tunatofautiana uelewa hivyo si sehemu yangu kuelewa unachoelewa ama kukulazimisha uelewe nielewacho.

Uwe na Jumatatu yenye baraka tele.
Kwahiyo ulitaka niseme nini kama sio mwalimu kulawiti? Unataka tuyafumbie macho sio
 
Sisi hatudili na nyie
Siye tutahakikisha mpwayungu village mpaka aachane na walimu akatafute sehemu nyingine ya kufichia uongo wake nafiksi zake

Twende kazi
Namzungumzia huyo Mpwayungu, na ndo maana anatuonea wivu Walimu wa kike, mshahara wetu hauna Kazi tunahudumiwa🤣🤣🤣 anatamani angekuwa mwanamke🤣
Mpwayungu njoo tugawane kitenge cha Mwenge tukashone sketi za nguva🤣🤣🤣
 
Ni kweli hizi kada hakuna masihara mkuu maana wanajitambua.

Sasa mwalimu hana posho ya kazi wala posho ya safari ama posho yoyote ile na bado anatumika kukata viuno kwenye chaguzi huku kada zingine zikiheshimiwa kwa kutofanyiwa udhalilishaji huo.

Eti ikifika nyakati za uchaguzi wakipewa ile kazi ya kuandikisha wapiga kura na kulipwa tulaki kadhaa basi wao wanaona bonge la heshima na kuthaminiwa kumbe lengo ni kuwatumia walimu kwakuwa hawana gharama kubwa tofauti na kutumia kada zingine ambazo zitadai maslahi makubwa.
Uchaguzi hata ungepewa wewe na familia Yako msimamie CCM tutashinda tu
 
Kwamba mwalimu aliyelawiti mtoto WA darasa la tatu ulitaka nifiche nimsingizie daktari?
Swala la mwalimu mmoja/wawili kukengeuka na kufanya ushenzi haliwezi kuwafanya walimu wote kuwa wa hovyo. Hata kama wewe sio mwalimu, basi heshimu kada za wenzako, kama zipo changamoto basi ziweke mezani zijadiliwe, hata kada nyingine zina changamoto nyingi tu.
 
Ni kweli hizi kada hakuna masihara mkuu maana wanajitambua.

Sasa mwalimu hana posho ya kazi wala posho ya safari ama posho yoyote ile na bado anatumika kukata viuno kwenye chaguzi huku kada zingine zikiheshimiwa kwa kutofanyiwa udhalilishaji huo.

Eti ikifika nyakati za uchaguzi wakipewa ile kazi ya kuandikisha wapiga kura na kulipwa tulaki kadhaa basi wao wanaona bonge la heshima na kuthaminiwa kumbe lengo ni kuwatumia walimu kwakuwa hawana gharama kubwa tofauti na kutumia kada zingine ambazo zitadai maslahi makubwa.
Kunywa Pepsi Kwa manka hapo mme wake kasafiri, ahsee nimewahi kusema hili
 
Kuna waalimu nimewashudia kadhaa kwenye maisha yangu wakiepo na utajiri mkubwa. Mmoja mwaka 2007 alikuepo lilondo Songea alikuepo na duka la jumla jumla , Scania 2 na biashara kubwa ya kununua misitu na kuchana mbao kusafirisha kuuzia Dar es salaam
Nitaaminije, mtaje jina tumsearch
 
Namzungumzia huyo Mpwayungu, na ndo maana anatuonea wivu Walimu wa kike, mshahara wetu hauna Kazi tunahudumiwa🤣🤣🤣 anatamani angekuwa mwanamke🤣
Mpwayungu njoo tugawane kitenge cha Mwenge tukashone sketi za nguva🤣🤣🤣
Usimpe hicho kitenge,Bora unipe miye nishone boksa ya kitenge

Kwanza anapinga walimu kuchangia mwenge
 
Namzungumzia huyo Mpwayungu, na ndo maana anatuonea wivu Walimu wa kike, mshahara wetu hauna Kazi tunahudumiwa[emoji1787][emoji1787][emoji1787] anatamani angekuwa mwanamke[emoji1787]
Mpwayungu njoo tugawane kitenge cha Mwenge tukashone sketi za nguva[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mnakufa njaa afu unaweka imoji za kucheka, kweli matahila hayataisha
 
Back
Top Bottom