Mpwayungu mwenyewe Kala chocho, anapitia Uzi wake Kama guest....famasiala🤣🤣🤣Hahahaa basi yaishe nisije nikanunua kesi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpwayungu mwenyewe Kala chocho, anapitia Uzi wake Kama guest....famasiala🤣🤣🤣Hahahaa basi yaishe nisije nikanunua kesi
mpwayungu village ebu toa go ahead Ili nipate kamserereko Kwa Mamy KHadi mdogo angu Mpwayu aniruhusu, apitie Kwanza AC zako akague🤣
AahaaaaaaMpwayungu mwenyewe Kala chocho, anapitia Uzi wake Kama guest....famasiala🤣🤣🤣
AaahahDollar 90,000 hiyo sio rahisi
Kumbe mdogo wako tuHadi mdogo angu Mpwayu aniruhusu, apitie Kwanza AC zako akague🤣
hahahahaaaaaa famasiala na walimuMpwayungu mwenyewe Kala chocho, anapitia Uzi wake Kama guest....famasiala🤣🤣🤣
Sio wote, usiwachafueWapi katukana?
Onesha tusi hapo kwenye hoja ya mleta mada.
Vitendo vya ulawiti vimekithiri kwa walimu sijui ndo imani za kishirikina wanaamini ili wapandishwe madaraja kimazabe walau wapate kamshahara kingi kingi kidogo.
Watu wanaoaminiwa kuwa walezi wa watoto wawapo mashuleni badala yake wamekuwa walawiti.
Uhuuhuhuhu mkuu nyie ccm ndomnasaidiwa kwenye uchaguzi na hawa vilazaUalimu? Labda kama alikuwa mlinzi...!
Kwahiyo ulisomea ualimu?Kwa ufaulu huu naweza kupata nafasi ya kusoma UDSM main kampasi?
Mimi nimhitimu wa chuo cha ualimu x ngazi ya kati yaani diploma nimepata GPA ya 3.6 SWALI: Je, kwa ufaulu huu naweza kupata nafasi yakusoma shahada i.e. Bachelor chuo kikuu UDSM main kampasi? Wenye uzoefu tafadhali ili kama main campus kuna compitition nisitupe 10000 yangu niaply Teofilo Kisanji.www.jamiiforums.com
Wewe mwalimu wa diploma uliyekosa ajira utajafa kwa kihoro,nenda kasome huenda ukapata ajira,shubamitiNashuhudia wimbi la walimu kwenda kusoma sheria, daktari, uhandisi nk lakini sijaona tangu kuzaliwa kwangu mtumishi wa kada nyingine kama sheria na afya akasomee ualimu ili awe mwalimu...
Acha hasira wewe kama uko vizuri hamia shule za privateNashuhudia wimbi la walimu kwenda kusoma sheria, daktari, uhandisi nk lakini sijaona tangu kuzaliwa kwangu mtumishi wa kada nyingine kama sheria na afya akasomee ualimu ili awe mwalimu...
Nilikuambia ukitoa uzi unitagNashuhudia wimbi la walimu kwenda kusoma sheria, daktari, uhandisi nk lakini sijaona tangu kuzaliwa kwangu mtumishi wa kada nyingine kama sheria na afya akasomee ualimu ili awe mwalimu...
Muoneeni huruma huyu kapukuUnaongelea shule za Serikali wewe
Private wako mainjinia wanafundisha fizikia na hesabu,wako wachumi ,wako wahasibu wanafundisha masomo ya uchumi ns uhasibu nk kibao
Mleta mada nadhani unaongeleq za Serikali Private wapo kibao