Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwakweli wagogo wavivu na walalamishi...huyu ni ticha full stopImagine mshahara wa Mwalimu wa Diploma wenye Makato ya mikopo🤣 Halafu mwalimu mwenyewe mgogo mvivuuuu, hana plan B....lazima apagawe.
We pamoja na kazi waliyofanya walimu kukufanya ujue cha kuandika bado ni mpumbavu kwa kiwango cha utajiri wa MarekaniHakuna mwalimu huyu kwa msimamo wangu na nalijua hili kwakua najua huwa wagumu kujiongeza kibiashara.
Ukiona mwalimu ana million mia tu ujue huyo kastaafu juzi na baada ya wiki mbili utakuta kanunua pikipiki na anaanza ujenzi wa nyumba isiyozidi million ishirini.
Jana Kuna mwalimu kalawiti mtoto wa darasa la tatu chooni, yani unafanya mapenzi kwenye vyoo??
Mbona unapenda kuwaandama walimu, kama huna kazi ni bora kukaa kimya kwani ukimya ni bora kuliko kujifanya mjizi wa kila kitu ilhali ni boya tu.Hakuna mwalimu huyu kwa msimamo wangu na nalijua hili kwakua najua huwa wagumu kujiongeza kibiashara.
Ukiona mwalimu ana million mia tu ujue huyo kastaafu juzi na baada ya wiki mbili utakuta kanunua pikipiki na anaanza ujenzi wa nyumba isiyozidi million ishirini.
Jana Kuna mwalimu kalawiti mtoto wa darasa la tatu chooni, yani unafanya mapenzi kwenye vyoo??
HahaaaEndapo itagundulika wewe ndio mpyayungu village utapata taabu sana.
Trust me dogo.
Haha....utakuwa mchepuko wake Mpwa Nini?Endelea kutetea walimu mkuu, usikate tamaa. Hata ikibidi kuwachapa viboko wachape tu ili akili zishtuke maana ni kama zimeganda
Unakosea,sio kila anaepingana nae ni mwalimu,ila ni aibu kumuachia mjinga mmoja kudhalilisha kada ya watu.
Ujinga gani tena jamani?akili,sababu ya ujinga wake tu.
Wewe ni mpwayungu village mgogo mjingamjijgaKabla ya kujiunga nilikuwa nasoma post nauli kitu nafungua link za jamiiforum
[emoji2][emoji2]Wewe ni mpwayungu,na Riyan ni ID yako pia.
Haya mambo hayakusaidii kitu,sanasana utazidi kuwa mjinga.
Vipi ile diploma yako ya ualimu umeshaajiriwa?