Walimu Mei mosi imekaribia, andaeni mabango ya maandamano ya Amani

Walimu Mei mosi imekaribia, andaeni mabango ya maandamano ya Amani

mwisho wa siku, majina yetu kaka naguna yataandikwa kwenye vitabu vya historia na kufundishwa vizazi na vizazi kwa sababu ya kufumbua macho walimu na hii kada itapendwa sana.

Lkn mpka hayo yatakapofanyika zaidi ya hapo ni KATAAA UALIMU NI UMASKINI
Wewe mpwayungu village una matatizo
 
Yule jamaa aliiitwa mpwayungu village, na wewe mgeni una jina lake la "village" ,mada zenu na mwandiko unafanana kabisa.
Hivi mods hamuoni wahuni kama hawa?,
Huyu jamaa atafanya nikienda dodoma niwaone wagogo kama hawana akili,sababu ya ujinga wake tu.
Huyu mpwayungu ni mshamba WA teknolojia
Alikuw anabisha yéyé SII mwalimu ilhali threads zake za nyuma akiomba ushauri WA diploma yake zipo
Alkuwa hajui kuwa Kila kinachoandkwa kinakuwa recorded,ni mshamba mno
 
Ujinga gani tena jamani?
Kusema walimu ni maskini, ?
Huko kijijini kwenu ni mwalimu gani kabla ya kustaafu anamiliki gari ya mil. 40 au nyumba ya m. 70?
Wapo wengi
Utajiri Au umaskini ni akili ya MTu,MBna raia wengi ni maskini hohehahe na ndio wengi hawasemi? Mjinga huyo
 
Huyu mpwayungu ni mshamba WA teknolojia
Alikuw anabisha yéyé SII mwalimu ilhali threads zake za nyuma akiomba ushauri WA diploma yake zipo
Alkuwa hajui kuwa Kila kinachoandkwa kinakuwa recorded,ni mshamba mno
Kwani kila aliyesomea ualimu ni mwalimu? Wangapi wako huko bungeni, wafanyabiashara, managers nk ambao walisomea ualimu lakini kwa sasa si walimu na wengine hawajawahi hata kushika chaki?
 
Yule jamaa aliiitwa mpwayungu village, na wewe mgeni una jina lake la "village" ,mada zenu na mwandiko unafanana kabisa.
Hivi mods hamuoni wahuni kama hawa?,
Huyu jamaa atafanya nikienda dodoma niwaone wagogo kama hawana akili,sababu ya ujinga wake tu.
Jibuni hoja za mpwayungu village sio kusema Hana akili....??

Na mtatumia nguvu nyingi kuzima hii CAUSAL BURNING...

HOJA HAZIPIGWI RUNGU By JK
 
Huyu mpwayungu ni mshamba WA teknolojia
Alikuw anabisha yéyé SII mwalimu ilhali threads zake za nyuma akiomba ushauri WA diploma yake zipo
Alkuwa hajui kuwa Kila kinachoandkwa kinakuwa recorded,ni mshamba mno
Ndoalikuwa hivyo, basi alikuwa mshamba ila mawazo yake Yana akili
 
Kwani kila aliyesomea ualimu ni mwalimu? Wangapi wako huko bungeni, wafanyabiashara, managers nk ambao walisomea ualimu lakini kwa sasa si walimu na wengine hawajawahi hata kushika chaki?
Na Wewe ni mjinga namba mbili
Ualimu ni taaluma na sio kufundsha,unaweza kuwa mwalimu Lkn usiwe darasani
Kwani ukiwa mwalimu alafu ukaacha kazi utakuwa dokta? Si BDO utakuwa mwalimu?
 
Jibuni hoja za mpwayungu village sio kusema Hana akili....??

Na mtatumia nguvu nyingi kuzima hii CAUSAL BURNING...

HOJA HAZIPIGWI RUNGU By JK
Mbaya zaidi na mm wanasema ni mpwayungu, hawa watu washachanganyikiwa unajua mtu akila za uso anaona kila kitu ni nyota, hata jiwe wao wanaona ni nyota tuu. Wangekuwa wanajibu hoja wao wanaattack I'd ya mtu
 
Huyu jamaa ni either ana influence kubwa sana au ana mental case.. kushawishi watu tofauti kuchukia walimu hiko kipaji maalum ila kama ni wewe una ma id tofauti aisee kuna screw iko loose! So either a very brilliant mind or sociopath.

Very thin line. Alaf njoo kivingine tushachoka same ol cheesy shit
 
Ualimu ni taaluma na sio kufundsha,unaweza kuwa mwalimu Lkn usiwe darasani
Kwani ukiwa mwalimu alafu ukaacha kazi utakuwa dokta? Si BDO utakuwa mwalimu?
Ila ujue tu kwamba kuna watu wamesomea fani zaidi ya moja. Sasa sijui utampa cheo gani? Alisomea ualimu akaachana nao akaenda kusomea sheria, uandishi wa habari, udaktari nk....
 
Kwani kila aliyesomea ualimu ni mwalimu? Wangapi wako huko bungeni, wafanyabiashara, managers nk ambao walisomea ualimu lakini kwa sasa si walimu na wengine hawajawahi hata kushika chaki?
Mpk nakua nili be inspire kua mwalimu kutokana na WALIMU niliona kua nao karibu kimakuzi badaee nililikwepa hili Shimo......

Katika jamii nyingi za ki maskini mpaka muda huu nao andika waalimu wanaishi maisha ya kifalme....

Kuna WALIMU wamesha Toka kimaisha maana wamejiwekeza Kwa kucheza na fursa huko vijijini.....

Mwalimu ndie mtumishi pekee asiye kua na malupulupu....
Mwalimu ndie ana maboss wengi, mratibu,diwani, mkurugenzi, DC, Rc, Mbunge....

Mwalimu ataambiwa achangie Mwenge.....ata pewa maelekezo na atatumika ipasavyo....

Inashangaza sana mtu kuandika Haya maneno...PIGA VITA UALIMU KATAA KUA MWALIMU NI UMASKINI NA UTUMWA...
Ndio,
Kama ni Coward government lazima uingie matatizoni....
 
Back
Top Bottom