Walimu Mei mosi imekaribia, andaeni mabango ya maandamano ya Amani

Walimu Mei mosi imekaribia, andaeni mabango ya maandamano ya Amani

Mimi ni mgeni nimejiunga muda si mwingi ila nyuzi nyingi naona zimesheheni walimu, ukweli ni kuwa yanayosemwa yote ni yakweli na chanzo cha haya yote ni uoga wa walimu.

Ila yote Kwa yote ipo siku tu watapata haki zao ambazo wanaogopa kudai wasipodai wao tutawasaidia kudai no matter tutakumbana na vikwazo vingapi we are ready lakini Nia yetu nikuona mwalimu anapewa thaman nyingi asidharirike.

Mwalimu apewe standing allowance, walipwe na wao overtime, subsistence allowance, transport allowance, house allowance hata kama sio vyote japo basi kimojawapo tu Tosha. Tupo tayari hata kuuawa, kusemwa vibaya na kutishwa ila hatutaacha kuwatetea walimu wetu wa Tanzania [emoji120][emoji120][emoji120]
Mpwayungu Village.
 
Mimi ni mgeni nimejiunga muda si mwingi ila nyuzi nyingi naona zimesheheni walimu, ukweli ni kuwa yanayosemwa yote ni yakweli na chanzo cha haya yote ni uoga wa walimu.

Ila yote Kwa yote ipo siku tu watapata haki zao ambazo wanaogopa kudai wasipodai wao tutawasaidia kudai no matter tutakumbana na vikwazo vingapi we are ready lakini Nia yetu nikuona mwalimu anapewa thaman nyingi asidharirike.

Mwalimu apewe standing allowance, walipwe na wao overtime, subsistence allowance, transport allowance, house allowance hata kama sio vyote japo basi kimojawapo tu Tosha. Tupo tayari hata kuuawa, kusemwa vibaya na kutishwa ila hatutaacha kuwatetea walimu wetu wa Tanzania [emoji120][emoji120][emoji120]
Upo sahihi ila najiuliza ni kwa uchumi upo bloangu?
 
Nagulo village najua wewe ni mpawayungu uliyerudi kwa jina jipya. Mwalimu acha kiburi na dharau. Bado hujajifunza tu. Nakuonea huruma. Usije kukipata utafutacho. Kwanini unitukane? Changia kwa busara Kama unataka kudumu humu na hapo ulipo.
@Moderator huyu member amekuwa akitishia members wengine juu ya misimamo yao,kwanini msimpige ban!? Yeye nani hata atambe kwa upuuzi anao ufanya.

Huna lolote wewe,mkuki haupigwi konzi acha kutisha watu na kujifanya wewe ni mtu mkubwa sana ndani ya nchi hii wakati ni mpuuzi Fulani usiye na jipya
 
Nagulo village japo wewe ni mpawayungu uliyerudi kwa jina jipya, nitaendelea kuratibu mwenendo wako. Kama utaendeleza uchochezi na dharau, utakipata. Pia nikujuze tu kuwa mna CWT, mna TSC, mna Teachers clusters na kubwa zaidi TAMISEMI na Wizara ya Elimu. Peleka madai yenu huko. Walimu wengi hawapo humu. Unawachochea wenzio kwa kutumia Saikolojia huku pia ukiwadhalilisha.

Nakupa muda wa kustaarabika sasa, tumia mbinu mujarabu kuwasilisha hoja kwa wahusika kwa sababu humu jukwaani upo huru ila uhuru usitumike kuudhi, kudhalilisha na kukera na hata kuchochea.
Asanteeehh.
Acha upuuzi wa kupangia watu kipi wafikiri,huu ni uhayawani wa kiwango cha sgr
 
@Moderator huyu member amekuwa akitishia members wengine juu ya misimamo yao,kwanini msimpige ban!? Yeye nani hata atambe kwa upuuzi anao ufanya.

Huna lolote wewe,mkuki haupigwi konzi acha kutisha watu na kujifanya wewe ni mtu mkubwa sana ndani ya nchi hii wakati ni mpuuzi Fulani usiye na jipya
Anajifanya afisa usalama wa taifa kumbe anachimba mihogo kigoma [emoji28][emoji28][emoji28]
 
Imagine mshahara wa Mwalimu wa Diploma wenye Makato ya mikopo🤣 Halafu mwalimu mwenyewe mgogo mvivuuuu, hana plan B....lazima apagawe.
Kweli, mikopo mibaya ndiyo changamoto
 
Nawapa mbinu za mapambano, msikubali mwalimu mwenzenu aonewe pingeni Kwa nguvu zote. Kumekuwa na tabia ya watendaji wa halmashauri, wakuu wa shule, afisa elimu Kata, madiwani na viongozi wa tamisemi, wizara ya elimu kuwafokea na kuwaonea walimu.

Mara nyingi wakidai haki zao wanaambiwa wana fujo, kwann mtu akidai chake au kukataa maagizo haramu mnamwita mchokozi, anafanya vurugu, sio mzalendo mnapigisha barua za kutosha na vitisho juu kwani akipewa haki zake kuna shida.
Walimu hawahawa wanaofurahia mwenzao akicharazwa bakora na mkuu wa wilaya mbele ya wanafunzi?
 
Nitakuwa wa mwisho kuamini kazi ya ualimu inaweza kumpa mtu maisha bora ya milo mitatu na usafiri binafsi wa uhakika. Imagine mpaka Mei mosi inafika hakuna mwalimu au kundi lolote lililosimama kutetea maslahi Yao

Inaumiza sana kuona mamluki wenye mavazi ya cwt kuvaa mabango ya kinafiki kumsifu Rais eti Asante Kwa vishikwambi 2025 umepita, who says? Walimu ivi kishikwambi ndokifanye umpe Rais Kura 2025??

Kuna baadhi ya walimu hamko serious mimi ningetegemea siku ya Mei mosi mfanye peaceful demonstration lakini hola mnaenda kuimba manyimbo ya kizee ya kumsifu Rais tu huku mnalala njaa mnanuka majasho ya shida madeni tupu

Ngoja Nile nyama narudi
1682854380256.jpg
 
Back
Top Bottom