DOKEZO Walimu Mkoani Mwanza wafanya Mafunzo ya Mtaala Mpya bila Posho

DOKEZO Walimu Mkoani Mwanza wafanya Mafunzo ya Mtaala Mpya bila Posho

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

kingunge wa jf

JF-Expert Member
Joined
Dec 24, 2013
Posts
464
Reaction score
447
Hili ni jambo la kusikitisha sana baada ya waalimu mkoani Mwanza kufanya mafunzo ya mtaala mpya bila Posho ya kujikimu wakiwa mafunzoni.

Fikiria serikali inatekeleza jambo kubwa kama hili halafu unamtoa Mwalimu nje ya kituo chake cha kazj anahudhuria seminar bila Allawance yeyote?

Kwa nini idara ya Afya na idara zingine kama kuna mafunzo nje ya kituo cha kazi huwa wanalipwa posho lakini hili halipo kwa waalimu? Au Sheria za utumishi wa umma haziwahusu walimu?

Kwa nini serikali inathamini walimu kipindi cha uchaguzi tu na sio kwenye kazi za msingi kwa taifa?
Inawezekanaje unamtoa mwalimu nje ya kutuo chake cha kazi unaenda kumpa mafunzo bila kupata chochote.

Walimu badilikeni hizi dharau mnazooneshwa na serikali yenu mnapaswa kukomesha. Fikirieni mnazidiwa mpaka na watu wa kawaida kabisa, mkulima anahudhuria mafunzo lakini anapata posho ila sio mwalimu. Hii sio sawa hata kidogo.
 
Hili ni jambo la kusikitisha sana baada ya waalimu mkoani Mwanza kufanya mafunzo ya mtaala mpya bila Posho ya kujikimu wakiwa mafunzoni.

Fikiria serikali inatekeleza jambo kubwa kama hili halafu unamtoa Mwalimu nje ya kituo chake cha kazj anahudhuria seminar bila Allawance yeyote?

Kwa nini idara ya Afya na idara zingine kama kuna mafunzo nje ya kituo cha kazi huwa wanalipwa posho lakini hili halipo kwa waalimu? Au Sheria za utumishi wa umma haziwahusu walimu?

Kwa nini serikali inathamini walimu kipindi cha uchaguzi tu na sio kwenye kazi za msingi kwa taifa?
Inawezekanaje unamtoa mwalimu nje ya kutuo chake cha kazi unaenda kumpa mafunzo bila kupata chochote.

Walimu badilikeni hizi dharau mnazooneshwa na serikali yenu mnapaswa kukomesha. Fikirieni mnazidiwa mpaka na watu wa kawaida kabisa, mkulima anahudhuria mafunzo lakini anapata posho ila sio mwalimu. Hii sio sawa hata kidogo.
Waalimu walipwe hela za nini wakati wako vizuri? Hao si ndio walichanga hela kumchukulia rais fomu ya kugombea urais?
 
Pole sana walimu.. siku walimu wakiamua kufanya mabadiliko hiyo dhuruma itaisha maana walimu ndiyo wanao saidia kuiweka CCM madarakani... Hiyo siyo haki kabisa.. Waziri wa elimu unahitaji kujitafakari + Maafisa Elimu wa wilaya na mkoa wa Mwanza.. pia na chama Cha walimu jitokezeni kutetea maslai ya walimu wenu.
 
Hili ni jambo la kusikitisha sana baada ya waalimu mkoani Mwanza kufanya mafunzo ya mtaala mpya bila Posho ya kujikimu wakiwa mafunzoni.

Fikiria serikali inatekeleza jambo kubwa kama hili halafu unamtoa Mwalimu nje ya kituo chake cha kazj anahudhuria seminar bila Allawance yeyote?

Kwa nini idara ya Afya na idara zingine kama kuna mafunzo nje ya kituo cha kazi huwa wanalipwa posho lakini hili halipo kwa waalimu? Au Sheria za utumishi wa umma haziwahusu walimu?

Kwa nini serikali inathamini walimu kipindi cha uchaguzi tu na sio kwenye kazi za msingi kwa taifa?
Inawezekanaje unamtoa mwalimu nje ya kutuo chake cha kazi unaenda kumpa mafunzo bila kupata chochote.

Walimu badilikeni hizi dharau mnazooneshwa na serikali yenu mnapaswa kukomesha. Fikirieni mnazidiwa mpaka na watu wa kawaida kabisa, mkulima anahudhuria mafunzo lakini anapata posho ila sio mwalimu. Hii sio sawa hata kidogo.
Nchi hii ni ya kipumbavu sana.

Huo mtaala mpya walipewa semina watu wote mashuhuri wakiwemo mawaziri, wabunge, wakuu wa mikoa na wilaya, wakurugenzi na kula posho zao mlima zikiwemo on transit, perdiem na allowance zingine.

Ila Kwa WALIMU sasa wengine wamepewa buku 3 ya Chai. Na hawa WALIMU ndio watekelezaji wakubwa wa huo mtaala...
 
Nchi hii ni ya kipumbavu sana.

Huo mtaala mpya walipewa semina watu wote mashuhuri wakiwemo mawaziri, wabunge, wakuu wa mikoa na wilaya, wakurugenzi na kula posho zao mlima zikiwemo on transit, perdiem na allowance zingine.

Ila Kwa WALIMU sasa wengine wamepewa buku 3 ya Chai. Na hawa WALIMU ndio watekelezaji wakubwa wa huo mtaala...
Hivi ndo huo mtaala nasikia watu wanalalamika kuwa Mambo ya baleghe yamepelekwa darasa la nne!
Sasa mwl kuelezea mtoto wa la nne habari za kubaleghe nao hawajafikia watawaelewa kweli!
 
Hili ni jambo la kusikitisha sana baada ya waalimu mkoani Mwanza kufanya mafunzo ya mtaala mpya bila Posho ya kujikimu wakiwa mafunzoni. Fikiria serikali inatekeleza jambo kubwa kama hili halafu unamtoa Mwalimu nje ya kituo chake cha kazj anahudhuria seminar bila Allawance yeyote? Kwa nini idara ya Afya na idara zingine kama kuna mafunzo nje ya kituo cha kazi huwa wanalipwa posho lakini hili halipo kwa waalimu? Au Sheria za utumishi wa umma haziwahusu walimu? Kwa nini serikali inathamini walimu kipindi cha uchaguzi tu na sio kwenye kazi za msingi kwa taifa? Inawezekanaje unamtoa mwalimu nje ya kutuo chake cha kazi unaenda kumpa mafunzo bila kupata chochote. Walimu badilikeni hizi dharau mnazooneshwa na serikali yenu mnapaswa kukomesha. Fikirieni mnazidiwa mpaka na watu wa kawaida kabisa, mkulima anahudhuria mafunzo lakini anapata posho ila sio mwalimu. Hii sio sawa hata kidogo.
Hili ni jambo la kusikitisha sana baada ya waalimu mkoani Mwanza kufanya mafunzo ya mtaala mpya bila Posho ya kujikimu wakiwa mafunzoni.

Fikiria serikali inatekeleza jambo kubwa kama hili halafu unamtoa Mwalimu nje ya kituo chake cha kazj anahudhuria seminar bila Allawance yeyote?

Kwa nini idara ya Afya na idara zingine kama kuna mafunzo nje ya kituo cha kazi huwa wanalipwa posho lakini hili halipo kwa waalimu? Au Sheria za utumishi wa umma haziwahusu walimu?

Kwa nini serikali inathamini walimu kipindi cha uchaguzi tu na sio kwenye kazi za msingi kwa taifa?
Inawezekanaje unamtoa mwalimu nje ya kutuo chake cha kazi unaenda kumpa mafunzo bila kupata chochote.

Walimu badilikeni hizi dharau mnazooneshwa na serikali yenu mnapaswa kukomesha. Fikirieni mnazidiwa mpaka na watu wa kawaida kabisa, mkulima anahudhuria mafunzo lakini anapata posho ila sio mwalimu. Hii sio sawa hata kidogo.
waache wakomeshe walichanga hela ya kumchukulia fomu wana hela za kuchukulia watu fomu
 
Hili ni jambo la kusikitisha sana baada ya waalimu mkoani Mwanza kufanya mafunzo ya mtaala mpya bila Posho ya kujikimu wakiwa mafunzoni.

Fikiria serikali inatekeleza jambo kubwa kama hili halafu unamtoa Mwalimu nje ya kituo chake cha kazj anahudhuria seminar bila Allawance yeyote?

Kwa nini idara ya Afya na idara zingine kama kuna mafunzo nje ya kituo cha kazi huwa wanalipwa posho lakini hili halipo kwa waalimu? Au Sheria za utumishi wa umma haziwahusu walimu?

Kwa nini serikali inathamini walimu kipindi cha uchaguzi tu na sio kwenye kazi za msingi kwa taifa?
Inawezekanaje unamtoa mwalimu nje ya kutuo chake cha kazi unaenda kumpa mafunzo bila kupata chochote.

Walimu badilikeni hizi dharau mnazooneshwa na serikali yenu mnapaswa kukomesha. Fikirieni mnazidiwa mpaka na watu wa kawaida kabisa, mkulima anahudhuria mafunzo lakini anapata posho ila sio mwalimu. Hii sio sawa hata kidogo.
Haya!
 
Nchi hii ina zaidi ya walimu 300, 000 msingi na sekondari.
Iyo bajeti ya posho ya staff 300,000 ni zaidi
unadhani itakuwa na shilingi ngapi?
 
katika mijitu ya kuicha ichapike ni pamoja na walimu,.. hawajawahi miliki akili 🚮🚮
 
Back
Top Bottom