Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watayaona majibu yakeNchi hii ni ya kipumbavu sana.
Huo mtaala mpya walipewa semina watu wote mashuhuri wakiwemo mawaziri, wabunge, wakuu wa mikoa na wilaya, wakurugenzi na kula posho zao mlima zikiwemo on transit, perdiem na allowance zingine.
Ila Kwa WALIMU sasa wengine wamepewa buku 3 ya Chai. Na hawa WALIMU ndio watekelezaji wakubwa wa huo mtaala...
Kumbukeni ninyi ndiyo washangiliaji namba moja kwenye ushindi wa kishindoFikiria serikali inatekeleza jambo kubwa kama hili halafu unamtoa Mwalimu nje ya kituo chake cha kazj anahudhuria seminar bila Allawance yeyote?
Kwa nini idara ya Afya na idara zingine kama kuna mafunzo nje ya kituo cha kazi huwa wanalipwa posho lakini hili halipo kwa waalimu? Au Sheria za utumishi wa umma haziwahusu walimu?
Na watoto wa sasa hivi wanasoma wakiwa wadogo.Hivi ndo huo mtaala nasikia watu wanalalamika kuwa Mambo ya baleghe yamepelekwa darasa la nne!
Sasa mwl kuelezea mtoto wa la nne habari za kubaleghe nao hawajafikia watawaelewa kweli!
aisee kumbe wale waliopewa Afu tatu wana unafuuHili ni jambo la kusikitisha sana baada ya waalimu mkoani Mwanza kufanya mafunzo ya mtaala mpya bila Posho ya kujikimu wakiwa mafunzoni.
Fikiria serikali inatekeleza jambo kubwa kama hili halafu unamtoa Mwalimu nje ya kituo chake cha kazj anahudhuria seminar bila Allawance yeyote?
Kwa nini idara ya Afya na idara zingine kama kuna mafunzo nje ya kituo cha kazi huwa wanalipwa posho lakini hili halipo kwa waalimu? Au Sheria za utumishi wa umma haziwahusu walimu?
Kwa nini serikali inathamini walimu kipindi cha uchaguzi tu na sio kwenye kazi za msingi kwa taifa?
Inawezekanaje unamtoa mwalimu nje ya kutuo chake cha kazi unaenda kumpa mafunzo bila kupata chochote.
Walimu badilikeni hizi dharau mnazooneshwa na serikali yenu mnapaswa kukomesha. Fikirieni mnazidiwa mpaka na watu wa kawaida kabisa, mkulima anahudhuria mafunzo lakini anapata posho ila sio mwalimu. Hii sio sawa hata kidogo.
Ualimu ni wito
HongeraNipo masomoni
Asante sanaHongera
Hii nikweli huwa tukienda maonyesho huwa tunalipwa na halimashauri 600k kwa siku zote tutakazo kaa huko tukichuliwa na mgodi ni mara mbili yake hapoa bado chakula na kulala ni wao wanatafuta na usalama juu ukiumwa waomkulima anahudhuria mafunzo lakini anapata posho ila sio mwalimu
Sio mwanza tu nafikiri ni mikoa yote maana hata sie tumetoka juzi tu hakuna cha posho wala nauri Tz elimu sio kipaumbele chakeHili ni jambo la kusikitisha sana baada ya waalimu mkoani Mwanza kufanya mafunzo ya mtaala mpya bila Posho ya kujikimu wakiwa mafunzoni.
Fikiria serikali inatekeleza jambo kubwa kama hili halafu unamtoa Mwalimu nje ya kituo chake cha kazj anahudhuria seminar bila Allawance yeyote?
Kwa nini idara ya Afya na idara zingine kama kuna mafunzo nje ya kituo cha kazi huwa wanalipwa posho lakini hili halipo kwa waalimu? Au Sheria za utumishi wa umma haziwahusu walimu?
Kwa nini serikali inathamini walimu kipindi cha uchaguzi tu na sio kwenye kazi za msingi kwa taifa?
Inawezekanaje unamtoa mwalimu nje ya kutuo chake cha kazi unaenda kumpa mafunzo bila kupata chochote.
Walimu badilikeni hizi dharau mnazooneshwa na serikali yenu mnapaswa kukomesha. Fikirieni mnazidiwa mpaka na watu wa kawaida kabisa, mkulima anahudhuria mafunzo lakini anapata posho ila sio mwalimu. Hii sio sawa hata kidogo.