DOKEZO Walimu Mkoani Mwanza wafanya Mafunzo ya Mtaala Mpya bila Posho

DOKEZO Walimu Mkoani Mwanza wafanya Mafunzo ya Mtaala Mpya bila Posho

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Huo mtaala mpya ni ujinga na hauna tija yeyote!!

Hakuna kitakachowasaidia watoto wetu hasta kidogo zaidi ya kupoteza muda tu!
Najua samiah anatekeleza maagizo ya the state waliompa wakati anapokea kijiti lakini hajawa serious na Hilo swala anafanya mradi ionekane amefanya hats kama ni lege lege ili kupata justification ya kugombea tena mwaka huu!!

Lakini amechelewa sana!
 
Sio mwanza tu nafikiri ni mikoa yote maana hata sie tumetoka juzi tu hakuna cha posho wala nauri Tz elimu sio kipaumbele chake
Ukirudi, muandikie mkuu wa shule barua akulipe. Mbona wao safari zao wanajilipa!!
 
Nchi hii ina zaidi ya walimu 300, 000 msingi na sekondari.
Iyo bajeti ya posho ya staff 300,000 ni zaidi
unadhani itakuwa na shilingi ngapi?
HOJA YA KILOFA SANA KUWAHI KUANDIKWA HUMU JF!!!

📌SUBIRINI WAALIMU WAENDELEE KUZALISHA BODABODA,WADUDU NA BAIKOKO HAKUNA NAMNA!!!
 
Mpwayungu akiwatetea mnamuona anawaponda vumilieni ipo siku yatakwisha
 
HOJA YA KILOFA SANA KUWAHI KUANDIKWA HUMU JF!!!

📌SUBIRINI WAALIMU WAENDELEE KUZALISHA BODABODA,WADUDUNA BAIKOKO HAKUNA NAMNA!!!
Mwalimu punguza wenge. Kupanga ni kuchagua ulichagua mwenyewe ualimu
 
NCHI IMEFIKA TULIPO KWA SABABU YA HAYA MAALIMU YANAYOTUMIKISWA KAMA MAZUZU.

KAZI KUIBA KURA TU. WACHA YANYOOSHWE KWA KUDHURUMU HAKI ZA WATU NA VIMISHAHARA YAO KIDUCHU.

NA HUWEZI SIKIA WAKIONGEA AU KUPAZA SAUTI.

SHENZI KABISA.
 
Kwahiyo mnafanyia training mtaala mpya huku shule zikiwa Zina mwezi Toka zifunguliwe? Sasa huko shuleni mlikuwa mnawafindisha Nini wanafunzi au Bado hawajaanza kusoma? Kwann hizo training zisingefanywa kabla hamjafungua shule?
 
Kwahiyo mnafanyia training mtaala mpya huku shule zikiwa Zina mwezi Toka zifunguliwe? Sasa huko shuleni mlikuwa mnawafindisha Nini wanafunzi au Bado hawajaanza kusoma? Kwann hizo training zisingefanywa kabla hamjafungua shule?
Form one huanza na Baseline,ndio wanaanza kufundishwa,mpaka sasa,hawajaanza kusoma masomo ya kawaida
 
Alisikika kiongozi fulani akisema "utumishi wa umma ni kazi ya kujitolea sio sehemu ya kujilipa miposho" nasema uongo ndugu zangu, hii ni kauli ya mwingine.
 
Nchi hii ina zaidi ya walimu 300, 000 msingi na sekondari.
Iyo bajeti ya posho ya staff 300,000 ni zaidi
unadhani itakuwa na shilingi ngapi?
Ni kauli ya kutolewa na layman na si msomi. Kama uliweza kutoa pesa za elimu bure from primary to advanced level utakuwa unahudumia watu kiasi gani? Iweje kwa watumishi 300,000 ndo iwe kubwa kwa issue inayotokea mara 1 baada ya miaka?? Na bado si walimu wote wanaohusika na hayo mafunzo ni wale watakaofundisha kidato cha kwanza tu
 
Mmeshindwa nini kuwawajibisha.
Mmesoma kama vile hamjaenda shule. Wapumbavu sana

Tatizo lenu walimu mnauoga sana kingine uchawa na njaa zinawasumbua.
Ni wasomi wapi mliwahi kuiwajibisha serikali kipindi hamjalipwa kile mnachostahili?
 
Back
Top Bottom