Walimu msipojirekebisha tutawatenga

Hayo maswala ya kukabithi kadi ni matakwa yao binafs kutokn na shida zao nazan kikubw kwa walimu ni kuwa wengi kama CCM wazur weng wabaya wengi

Walimu wanakosa posho au allowance tuu lakn mishahara ya tamisem haipshan sana

Maish ya watumish wa HALMASHAURI n hoi kwa kiwango kikubw sem ndio walimu n wengi wanaonekn n tatzo

#kataaUalimu sio kaz
 
Hhhahaha eti kataa ualimu sio kazi
 
Ndugu Mpwayungu, kwa kuweka kando udhaifu wako katika maeneo mengine, hakika umezungumza ukweli halisi.
Kwenye kudai haki, walimu wanatakiwa kuweka kando tofauti zao na kusimama pamoja.
ID nyingine ya mpwayungu
 
Yaani we mwalimu Leo umeandika vitu vya msingi sana. Walimu wakifanya hayo uliyoandika nitamwandikisha shule mwanangu nilipanga asisome niwe namfundisha mwenyewe nyumbani na kumuandaa kurithi kazi ninayoifanya awe na ujuzi mkubwa zaidi yangu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…