Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuliza mizukaWalimu Foeni mabegi yenu kwani Mda wowote mtaitwa (ku) zini. 🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔
Ila za afya kama heath assistant na Nurse sio za kujitakia umasikini wa kudumuAjira za kujitakia umasikini wa kudumu.
Mmh hii comment kali sana.Ajira za kujitakia umasikini wa kudumu.
Toeni Ajira ukute baba yako ni Mwl.Ajira za kujitakia umasikini wa kudumu.
Una GPA ya 3.5+Toeni Ajira ukute baba yako ni Mwl.
Uuuwi masikini sisi walimu ona tunavyobezwa.Jamani watu wa Mungu naombeni kazi ingine please.Ajira za kujitakia umasikini wa kudumu.
Fafanua MKUU.Ajira za kujitakia umasikini wa kudumu.
Are you serious? Aisee(ku) zini.
Kikubwa maisha yanasonga....Ajira za kujitakia umasikini wa kudumu.
waganga njaa msio na ujuzi wowote mlioishia kidato cha nne haya ndio maneno yenuAjira za kujitakia umasikini wa kudumu.
nina gpa ya 100Una GPA ya 3.5+