Boeing787-8
JF-Expert Member
- Aug 16, 2018
- 1,155
- 1,209
Fua begi,aga majiraniMaisha magumu tumechoka kusubil
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fua begi,aga majiraniMaisha magumu tumechoka kusubil
HahahaFua begi,aga majirani
Ndiyo inawezekana.njia Moja wapo ni kujiajiri na kuacha kuajiriwa na ajira zenye ujira mdogo kama mwalimu.Hivi inawezekana Tajiri kupatikana katika nchi masikini?
Mkuu na blue tick bado hawaioni? Pole sana...la kwetu sote hiliKila siku naomba maombi sipati kitu 😃
😁😁😁Mkuu na blue tick bado hawaioni? Pole sana...la kwetu sote hili
Sasa Nchi masikini inakuwaje na Tajiri mzee au ni Tajiri kwa viwango vya nchi husika.Ndiyo inawezekana.njia Moja wapo ni kujiajiri na kuacha kuajiriwa na ajira zenye ujira mdogo kama mwalimu.
Wale wazee wakufua mabegi December inayoyoma hii hakuna pdf wala nn. Yani ngoma ni March au April,kama umefua begi lichafue tuu maana gia ngumu inakujaFua begi,aga majirani
Interview zinakuja japokua ni ukweli mchungu ila wadau wa elimu mkubaliane nao haliwezekani watu wa afya wapige interview alaf mwalimu uajiriwe free nooooWale wazee wakufua mabegi December inayoyoma hii hakuna pdf wala nn. Yani ngoma ni March au April,kama umefua begi lichafue tuu maana gia ngumu inakuja
Mtaalam, kweli kuna haja ya ufafanuzi katika hilo? Kwa lugha za wenzetu, hii inafahamika kama THE NAKED TRUTH.Fafanua MKUU.
Mwalimu MAGUFURI
Mwalimu MAJALIWA
Leo pdf out mida ya 12 jionInterview zinakuja japokua ni ukweli mchungu ila wadau wa elimu mkubaliane nao haliwezekani watu wa afya wapige interview alaf mwalimu uajiriwe free noooo
You will be crazyLeo pdf out mida ya 12 jion
Subiri uone.You will be crazy
Umaskini upo kwenye ubongo wa mtu. Mtu hawi maskini kwa sababu ya ualimu, anakuwa maskini kwa sababu ya fikra zake.Ajira za kujitakia umasikini wa kudumu.
Mwambie hivi ukiwa polisi ,au nesi au mtendaji salary unatofauti Gani na mwalimuUmaskini upo kwenye ubongo wa mtu. Mtu hawi maskini kwa sababu ya ualimu, anakuwa maskini kwa sababu ya fikra zake.
Kuna walimu ni Wafanyabiashara, kuna walimu wameenda mpaka kumiliki shule zao wenyewe.
Kuna Mwalimu ni rafiki yangu, ni trader mzuri wa mazao.
Mwalim analipwa vizuri kati ya hao ulio wataja,kwanza kabisa mishahara yao wote hapo ni almost the same kwa anae anza kazi,ukija ukilinganisha ugumu wa kazi masaa ya kazi mwalim nikama ana relax mbele ya hao.Mwambie hivi ukiwa polisi ,au nesi au mtendaji salary unatofauti Gani na mwalimu
Nitaenda tu whateverAjira mpya utapangiwa vijiji vya ndani hasa
Fua begi utapata mkuuNitaenda tu whatever
Kazi yetu ni kufundisha wanafunzi, hyo ya ukarani ni majukumu njee ya taaluma, acheni kutubeza, bila mwalimu usingeweza Ku comment hapaIdadi ya "makarani" WA Kura uchaguzi mkuu 2025 inaongezeka