Walimu muda wowete kuitwa kazi

Walimu muda wowete kuitwa kazi

Ndiyo inawezekana.njia Moja wapo ni kujiajiri na kuacha kuajiriwa na ajira zenye ujira mdogo kama mwalimu.
Sasa Nchi masikini inakuwaje na Tajiri mzee au ni Tajiri kwa viwango vya nchi husika.
Ukiajiriwa unakuwa masikini.....kwako umasikini tafsiri yake ni nini
 
Wale wazee wakufua mabegi December inayoyoma hii hakuna pdf wala nn. Yani ngoma ni March au April,kama umefua begi lichafue tuu maana gia ngumu inakuja
Interview zinakuja japokua ni ukweli mchungu ila wadau wa elimu mkubaliane nao haliwezekani watu wa afya wapige interview alaf mwalimu uajiriwe free noooo
 
Interview zinakuja japokua ni ukweli mchungu ila wadau wa elimu mkubaliane nao haliwezekani watu wa afya wapige interview alaf mwalimu uajiriwe free noooo
Leo pdf out mida ya 12 jion
 
Ajira za kujitakia umasikini wa kudumu.
Umaskini upo kwenye ubongo wa mtu. Mtu hawi maskini kwa sababu ya ualimu, anakuwa maskini kwa sababu ya fikra zake.
Kuna walimu ni Wafanyabiashara, kuna walimu wameenda mpaka kumiliki shule zao wenyewe.
Kuna Mwalimu ni rafiki yangu, ni trader mzuri wa mazao.
 
Umaskini upo kwenye ubongo wa mtu. Mtu hawi maskini kwa sababu ya ualimu, anakuwa maskini kwa sababu ya fikra zake.
Kuna walimu ni Wafanyabiashara, kuna walimu wameenda mpaka kumiliki shule zao wenyewe.
Kuna Mwalimu ni rafiki yangu, ni trader mzuri wa mazao.
Mwambie hivi ukiwa polisi ,au nesi au mtendaji salary unatofauti Gani na mwalimu
 
Mwambie hivi ukiwa polisi ,au nesi au mtendaji salary unatofauti Gani na mwalimu
Mwalim analipwa vizuri kati ya hao ulio wataja,kwanza kabisa mishahara yao wote hapo ni almost the same kwa anae anza kazi,ukija ukilinganisha ugumu wa kazi masaa ya kazi mwalim nikama ana relax mbele ya hao.
 
Idadi ya "makarani" WA Kura uchaguzi mkuu 2025 inaongezeka
Kazi yetu ni kufundisha wanafunzi, hyo ya ukarani ni majukumu njee ya taaluma, acheni kutubeza, bila mwalimu usingeweza Ku comment hapa
 
Back
Top Bottom