Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuandika Kwa ufasaha hujui.Na wewe unajiita mwalimu msomi kweli?Nchi hii Ina walimu vilaza sana kama wewe.waganga njaa msio na ujuzi wowote mlioishia kidato cha nne haya ndio maneno yenu
Hao waliona ualimu haulipi ndiyo maana wakahama huko.Fafanua MKUU.
Mwalimu MAGUFURI
Mwalimu MAJALIWA
Mwalimu Nyerere..zamani ualimu lilikua Jambo la heshima.Hao waliona ualimu haulipi ndiyo maana wakahama huko.
Acheni ujinga Daktari nchi hii analipwa basic 1.4m sawa na dollar $515,,Kwa hii salary this is the shame,lakini utakuta Daktari naye anajiona ana mshahara mzuri😁Hao waliona ualimu haulipi ndiyo maana wakahama huko.
Ngoma leo kabla ya saa tano usiku outNimefua begi uelekeo tegeta tra pisheni njia sicheki na wowote
Kijana kalime acha ramliNgoma leo kabla ya saa tano usiku out
Aupendi jamaa aende kula kekiKijana kalime acha ramli
Napenda sana lakini anapotosha watu eti Leo usiku pdf inatemaAupendi jamaa aende kula keki
Ingekuwa kigezo GPA Kuna watu wasingekuwa mawaziriUna GPA ya 3.5+
Ndo maana kuwa mbunge jua kusoma na kuandika,,,kuwa Tutorial assistant uwe na GPA ya 3.8,,life not fairIngekuwa kigezo GPA Kuna watu wasingekuwa mawaziri
nishalima san nimechokaKijana kalime acha ramli
Kuwa kwenye system ya serikali kuna unafuu sanaKikubwa maisha yanasonga....
Una huruma kweli,je umewasaidia wasio na kazi wangapi mkuu?
Jinga hili....
🥴Kuwa kwenye system ya serikali kuna unafuu sana
Sahv ndo nmeanza kuelewa baada ya kuona mziki wa business
Hivi inawezekana Tajiri kupatikana katika nchi masikini?Ajira za kujitakia umasikini wa kudumu.